Recent content by MCH

  1. MCH

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    kesho wanaweza tangaza tuendelee kusubiri
  2. MCH

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    hakuna haja ya kutukana. kwan ushauri huo ni mzur ila kama unaona wanakudharau wakati wa kuripoti usiende na vitu hivyo ndo utajua halmashauri zikoje.
  3. MCH

    Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Lipumba akamatwa na wafuasi wake, kisha waachiwa kwa dhamana!

    mungu yupo tu kitaeleweka mwaka huu CCM kuweni makini sana. waelezeni wananchi kile mlicho kifanya ndani ya miaka 50 nasio kutumia nguvu ya dola kuwadhohofisha watanzania. watanzania amkeni huu ni wakati wa kumsahau CCM na kumfuata UKAWA ili kujua mstakali wa taifa hili pia tujipange kuhusu...
  4. MCH

    Connect dots hapa kuhusu Jaji Mujulizi na Kikwete

    dah sio huyo kwanza inatakiwa wahukumiwe n pia kufukuzwa kaz zote sio uwaziri tu hata ubunge na pia rais aone uchungu wa pesa hizo ambazo zingeweza kulipa madai ya walimu wote
  5. MCH

    Nyalandu atangaza nia urais 2015

    unajua hawa wana CCM hawajielewi eti
  6. MCH

    Taarifa kutoka jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)

    hilo nalo neno bana mana ukiwa mkweli uko mbion kufa eti
  7. MCH

    Bomoa bomoa ya Pombe Magufuli yaanza.....jengo la business park ( green acres ) labomolewa

    mbona jengo la tanesco pale ubungo halibomolewi? jiulize kuna nini hapa?
  8. MCH

    Updates - Pres. Obama in Tanzania July 01-02, 2013

    huu ni ujinga hakuna uhusiano wowote hapa bali ni kujishusha sana
  9. MCH

    Mfumo mbovu wa Ukaguzi ndo chanzo cha kushuka kwa Elimu nchini:JK.

    mkuu suala si mfumo mbovu bali posho ya wakaguzi hao ni ndogo ndo mana kazi wanaripua ripua jaribuni kuongeza posho mtaona kazi itakavyo kuwa.
  10. MCH

    UDSM haipaswi kuikashifu UDOM

    Wewe kidogo unajua ukweli maana watu wa udsm wamekalia kuponda udom tu hawajui kwamba elimu ya hapa ni nzuri so waache waendelee na ujinga wao huo huo.
  11. MCH

    SHULE YA SEKONDARI YA KATA YA TURA (TABORA yapotez dira.

    Sasa ebu angalia matokeo ya kidato cha pili ni mabaya mno pia kidato cha 4 ndo usiseme yaani shule haina 1,2,wala 3 yaan kuna 4 tena kuanzia 30 nao ni wanafunzi 7 tu walio baki ni 0.jumla walikua wanafunzi 13 tu.je shule hii itafika kweli?
  12. MCH

    Walio apply udzm 2012 soma hapa

    Mbona hayaonekani?
  13. MCH

    SHULE YA SEKONDARI YA KATA YA TURA (TABORA yapotez dira.

    kwakutokana na uhaba wa waalimu katika shule nyingi za kata hapa nchini sasa tura sekondari yakaribia kupotea katika ulimwengu wa shule za sekondari kwa kukosekana kwa waalimu wa kuiwezesha shule hiyo sasa shule hiyo ina waalimu wawili tu.je kwa elimu hii tutafika?
Back
Top Bottom