Recent content by Mc Tilly Chizenga

  1. Mc Tilly Chizenga

    Mbona wana Yanga SC hawatucheki wana Simba SC kwa Kipigo cha Jana na Horoya FC?

    Kwani sisi tunavyochekana huku hao wa ulaya wanatuona??au Mimi Niko zangu Matejoo huku huko kwenye mitaa ya Manchester wakichekana kwenye mabar huko nitawaonaje???
  2. Mc Tilly Chizenga

    Baada ya Kuwasoma Horoya FC naomba 'Formations' hizi Mbili zitumike katika Vipindi vyote Viwili

    Nijuavyo Mfumo huu huu hutumia Mabeki wa kati watatu, mfano Leo awepo Onyango,Inonga na Kennedy ndio wanasimama kwenye hiyo 3 ya mwanzo, Tshabalala na Kapombe wanakuwa pembeni kwa juu kwenye line ya watu 5.Hicho kikosi ulichoandika wewe walikuwa wanacheza 4-4-2 sio 3-5-2
  3. Mc Tilly Chizenga

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Njoo Pm uniambie maeneo unaona hayapo sawa nikufafanunulie mkuu
  4. Mc Tilly Chizenga

    Simba SC Uwezekano wa Kutolewa upo

    Nimesoma mpaka nikasahau mada ni ilikuwa kitu Gani,kulikuwa na ulazima Gani kuchanganya huu mseto wa mambo meeeengi??ulikuwa hujiamini??bila shaka umeona kwanini ulikosa kujiamini
  5. Mc Tilly Chizenga

    Mohamed Hussein 'Zimbwe' aheshimiwe

    Kuna game moja ya ligi Mwaka Jana kipindi cha pili Zimbwe akacheza number 6 ilikuwa burudani baaab kubwa .uko sahihi mia mia
  6. Mc Tilly Chizenga

    Mohamed Hussein 'Zimbwe' aheshimiwe

    So nafasi zilizobaki ni wachezaji wa Simba?utakuwa umemuunga Mkono mtoa post bila kujua,Hapo kwa kina Job upo sahihi , simba ina tumia sana mabeki wa kati wa kimataifa kwa miaka kadhaa sasa, ila kwa Ambundo hebu jitafakari, anazo any proven records??
  7. Mc Tilly Chizenga

    Mohamed Hussein 'Zimbwe' aheshimiwe

    Wewe ni shuhuda?upo katika nafasi ya kuweza kutoa ushuhuda wako?Umesikia tu kwa watu, ni jirani wa mganga ulimuona akiingia kufanya ulozi, au huko kwa wachawi ni uncle ako ulikuwapo akienda au wewe mwenyewe ndio ulimtengenezea ndumba???Jibu kwa utulivu usipanic Mjomba ni swali la kawaida tu
  8. Mc Tilly Chizenga

    Mohamed Hussein 'Zimbwe' aheshimiwe

    Kwani takwimu zako Kisinda kakutana na Tshabalala mechi ngapi na ngapi alifanya Vizuri dhidi yake?Mi nakumbuka alimsumbua mechi moja tu, nyingine zote katulizwa tu
  9. Mc Tilly Chizenga

    Mohamed Hussein 'Zimbwe' aheshimiwe

    Mwanamtwa alikuwa beki wa pembeni kushoto au kulia?Kimataifa alifanya chochote au alikuwa anapambana na kina Pamba, Mecco na Tukuyu??
  10. Mc Tilly Chizenga

    Simba inavyozama sasa una chochote cha kuwashauri?

    Taratibu unajidhirisha wewe ni Utopolo plus plus
  11. Mc Tilly Chizenga

    Kwanini Yanga Walifika CAS Dhidi Ya Morrison..? Leo Wakili MSOMI Katoa Majibu...!

    Unawadharau sana ndugu zako kiasi kwamba uko tayari kubadilishana nao na gunia la ufuta
  12. Mc Tilly Chizenga

    Kibu Denis

    Sasa mbona unasema kuna kitu ambacho wewe na Mimi hatujaona mbona umetujumuisha sisi ktk mtizamo wako wewe binafsi??umetujumuisha bila kutuomba.Wewe kama unaona hivyo unavyoona jitaje mwenyewe usijumuishe na wengine.Andika upya bandiko lako
  13. Mc Tilly Chizenga

    Utabiri wangu kwa timu za Simba na Yanga kabla ya msimu kuisha

    Kwani amekuambia hiyo ni formula??mbona unamuwekea mwenzako maneno hajatamka??Yeye katabiri wewe subiri muda useme kama alivyohitimisha
  14. Mc Tilly Chizenga

    App nzuri ya kuangalia mpira live ulaya ni ipi?

    Mi najua website www.hesgoal.com haijawahi kuniangusha
Back
Top Bottom