Katiba ya chama inasema miaka mitano,,,,na Jk uenyekiti ameupata awam ya kwanza 2007,,,,awam ya pili 2012 hvyo ht Jpm ataupata Uenyekit 2017 km katiba ya chama inavyosema
Swali kwako ww mshabk hv mwaka ule mbowe anagombea urais angeupata angetoka kwenye uenyekiti au angesubir muda Wa kikatba ndo...