1.Kwan ww umetumwa na nan kufatilia maisha na interest za MTU???
2.Unapata faida gn ukimchafua???
3.Lengo ni nn hasa???
4.Unalipwa na nan pia???
5.Kwann umetumia muda mwing kumfatilia mwenzako????
Katiba ya chama inasema miaka mitano,,,,na Jk uenyekiti ameupata awam ya kwanza 2007,,,,awam ya pili 2012 hvyo ht Jpm ataupata Uenyekit 2017 km katiba ya chama inavyosema
Swali kwako ww mshabk hv mwaka ule mbowe anagombea urais angeupata angetoka kwenye uenyekiti au angesubir muda Wa kikatba ndo...
Kifo nipo hakiepukiki,,,,lkn je hv kila mwanasiasa ni mtu safi nje ya siasa??? Lkn pia hv kila inapotokea kfo cha mtu anaejihusisha na siasa na hasa cha kusababishwa na shambulio la mwili inakuwa direct shambulio hilo ni LA kisiasa???
Mawazo alikuwa binadam km wengne waliopo na walio...
Hahahahahaha! Na pia km tutaendelea kulazmisha mambo yawe km tunavyotaka na kukataa yalivyo kwa sababu tuuu upande unaouhitaj unaona umeelemewa au uko chin kiuwezo hatutafka mbali
Nchi ya ahad kwa kuzusha mambo ,,bila ya kutafuta chanzo na kutazama mazingira ya tukio,,, tutaendelea kuwa wabebaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.