Kunyonya kidole mi cjui ilitokea automatical jaman kuacha cwez hata uniwekee pili2 ntakinyonya mpk nasahau hata uteme kohoz ntasafisha mpk niridhike kabisa ntakiingiza mdomon ila 2 nimeacha kunyonya mbele za wa2 kuna ambao wananifumaga nackiaga aibu nisaidien woote
Uke unajisafisha wenyewe kuna bacteria wamewekwa special kwa ajili ya kuulinda uke wa mwanamke unapoingiza kidole kumbuka kile kidole kina bacteria wa hatari unaenda kuwaua wale bacteria walioumbwa kwa ajilii ya uke au unapopaka sabuni au gel unawaua bacteria, ndivyo mungu alivyotuumba jaman na...
Kwa jinsi navyoelewa mimi, kama mlienda kupima mmoja wenu kakutwa na virusi vya ukimwi, kuna ushauri ambao lazm mpewe kama wapenzi au wanandoa jinsi ya kuishi pamoja, kuna vidonge ambavyo huyo muathirika anatakiwa anywe ili kupunguza makali ya maambukizi ya ukimwi wapo wa2 wanaishi pamoja miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.