Mpenzi wangu ameathirika,nipeni ushauri nifanyaje ?.

Mpenzi wangu ameathirika,nipeni ushauri nifanyaje ?.

kama unampenda kuwa nae tu kwan ukimwi utakufa hapo hapo ukiupata?huyo hajakusalt bt atakuwa kazaliwa nao au atakuwa kapata pasipo ngono..mpende tu
 
inasikitisha kweli.... hivi uwezekano wa kuzaa bila madhara upo?
 
Mlienda kwenye kituo cha ANGAZA wakawapima bila kuwapa ushauri? Au umeamua kuja kumuanika mpenzi wako kwamba ameathirika?
 
Kwa jinsi navyoelewa mimi, kama mlienda kupima mmoja wenu kakutwa na virusi vya ukimwi, kuna ushauri ambao lazm mpewe kama wapenzi au wanandoa jinsi ya kuishi pamoja, kuna vidonge ambavyo huyo muathirika anatakiwa anywe ili kupunguza makali ya maambukizi ya ukimwi wapo wa2 wanaishi pamoja miaka mingi kwa upendo 2 na furaha coz kila m2 amekubaliana na hali ya mwenzake wewe ukikubaliana na hali ya mpenzi, na ukisonga mbele ukiamini kuwa ulimpenda kwa dhati hata mungu atakusaidia utaupata huo ukimwi halafu utakuwa Bonge la binadamu mwenye heshima zakee hata huyo mpnz wako atakuheshimu
 
Back
Top Bottom