Recent content by mc gregor

  1. mc gregor

    Zaka ya 10% unatoa kwenye faida au kwenye utajiri wako?

    je mfanya kazi mwenye mshahara ya 1m kwa mwezi atatoa 100k au atasubir kwanza akate gharama zote alizoingia katika kufanya io kazi mfano nauli kwenda ofisini, chakula akiwa ofisin nk atoe asilimia 10 ya bakaa itayobaki? naomba unijibu mkuu
  2. mc gregor

    Nimepewe urithi wangu mapema, nimechanganyikiwa

    ulishawai sikia nyumba 1 mnauziwa watu 8? unaelekea kutpeliwa
  3. mc gregor

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    mwizi hana haki mzee ndio maana mtaani huku tukikamata mwizi kaiba simu tunaichukua hio simu alafu tunampiga na kumchoma moto anauawa, huyo dogo tayar ni mwizi kwa nn mnampa haki ya kurudishiwa hela yoyote?? sasa maisha yangekuwa marahisi ivyo kila mtu si angekuwa anaiba akikamatwa analipa alafu...
  4. mc gregor

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    sasa na ww kafanye kama huyo boya katumie pesa za wanaume za biashara kununulia marange na kujengea ndugu zako nyumba uone kitakacho kuja kukupata mjini hapa hakuna pesa ya mwanaume inaliwa bure
  5. mc gregor

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    ndo dawa yao wangese kama hao kamata binya pumbu mpaka atasema hela zilipo nenda beba hela zako na za usumbufu alafu achana nao waswahili hawaaminiki kabisa hakuna kusikiliza story ya mtu wewe deal nao kibabe tu watakuheshimu huruma huruma wanakufilisi
  6. mc gregor

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    hawa waswahili wangese sana ndio maana yanakufaga masikini yaani ww unaleta masihara na biashara za wanaume unapelekewa moto unakuja kulialia huku jf wakati mmemuibia salah hela zake mnakula bia na kununua marange mlikuja huku kuomba ushauri??? mafaken kabisa wangese wa namna hii ni kupiga tu...
  7. mc gregor

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    wabongo mnatetea upumbavu kabisa yaani mtu unaniibia unaenda nunua manyumba na vogue walai nakupiga risasi kabisa huyo salaah nashangaa kawa mstarabu sana hao wangese bado wanapumua, biashara ni uaminifu ukileta tamaa unaumia, sasa wewe itakuwa umenufaika na hizo hela za wizi yaani mtu kamuibia...
  8. mc gregor

    Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

    bernardo portugal anacheza chini anahold mpira na kukaba wala sio mtu wa kupiga penetration passes akiwa portugal, hao wote uliowataja hakuna hata mmoja wa kucheza possesion football portugal wanamtegea sana bruno kupiga killer passes kwenye spaces na ndio silaha yake kubwa na ili aweze kufanya...
  9. mc gregor

    Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

    Spain na viungo wake wameshindwa kuifungua morocco sembuse portugal?? unajua mtiti wa busquets, pedri, na gavi kwenye kufungua njia wewe? morroco akiingia game ya portugal akikaa nyuma mechi inaisha bila portugal kupata goli ata moja, portugal anastruggle sana akicheza na timu zinazoweka low...
  10. mc gregor

    Maelfu ya laini za simu zafungiwa na TCRA kwa kujihusisha na uhalifu kupitia Mitandao ya Simu

    kwamba kila mtu awe na line 1 tu sio wewe unadhani kila mtu line 1 inamtosha?
  11. mc gregor

    Natafuta Tv, budget yangu 1.5m, au 2m kwa Tv kali sana

    tafta Lg oled c1 utaenjoy sana
  12. mc gregor

    Kufungiwa huduma ya internet gharama zake zipoje?

    Changanyikeni vip mmefika?
  13. mc gregor

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    biashara ya magari ina hela sana yaani gari kuagiza 20m mpaka 21m unauza 29m faida kama 9m daah noumah sana
  14. mc gregor

    Ujuzi juu ya kukwepa deni instagram sponsored AD

    Nenda facebook fungua ads account nyingine ilink na insta yako then tumia hio kufanya promotion io ya zaman iweke second option simple sana mzee
Back
Top Bottom