Habarini wana jukwaa... Niende kwenye mada... Mimi ni mkaz wa maeneo ya kibaha.. Kumekua na tabia isiyo njema inayofanywa na polisi wanaofnya patrol ktk barabara ya morogoro hasa maeneo ya kwa matias, Tanita, Mwendapole,kwa mfipa... Kongowe had mlandizi.. Majira ya usiku kuelekea alfajiri kuna...
Dah unnkumbusha enzi zilee 2007 tunaianzisha shule ya sec bundikan ipo kibaha town... Aaaah aisee vitu vyote vya ofis tulianzima shule y msingi Mail 1 mfn meza... Vit... Chaki... Nk huko darasan sasa hkn dawat wala ubao so tukatumia mbao za renta kujenga vibench vy kukalia... Full kuua nyoka wkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.