Huyu ummy mwalimu sijui kilitumika kigezo Gani Hadi kupewa uwaziri nyeti kama huu.
Ni mmama mweupe Sana kichwani .
Ni mjanja mjanjasana.
Mwingine ni mhagama.
KWAMBA HII NCHI HAMNA WATU SMART HADI TULETEWE AKINA UMMY KWELI!!
Mara nyingi manzi akikutana tu na Hawa viumbe Anza kuhesabu maumivu.
Kuna madoctor
Askari
Muuza nguo za dukani
Wasusi WA kiume
Maafisa bank
Wauza chips
Akitoa tu namba Kwa hao watu Anza kujiengua mapema.
Na kama hutak kujiengua basi kubal kushare.
Kuna manzi nilimpenda Sana nilijiaminisha Sana...
Mbona hata wewe unaonekana una akili za kuvukia Barabara tu.
Yaan watu wangekua wanaadhibu watu Kwa hisia basi wewe ungekua mifupa had saiz .
Zilitungwa Sheria na kanuni kuepuka mihemuka kama hii yenu
Kwahiyo kama ni taifa Kuna Sheria Gani inamzuia kuonana na ndugu zake?
Umejuaje labda Kuna mzigo aliwaagiza wamletee ukitokea nchini kwao?
Punguzen upimbi wenu nyie kapambaneni uwanjan mpate ushindi .
Mara nyingi mnaanza nyie Simba wakilalamika mnakua na sabab za kiwaki Sana ila yakiwageukia...
Majabu ya mpira hayajawahi kuisha usishangae yanga akadraw nyumbani na hao warabu Koko alafu akaenda Cairo kumchinja mwarabu pure.
Au yanga akashinda home and away vyote vinawezekana kwenye mpira
Ukweli usemwe Kocha WA Starz nae anakwama dizain ameridhika na hiyo draw.
Why asijilipue hizi dakika za mwisho aingize akina kibu denga Ili wapush kilazima?
Draw inatusaidia nn sisi ni heri tufungwe Kwa kujilipua kuliko draw isio na faida.
Waige Kwa Gambia dhidi ya cameroon
Yaan ni shida hii jamii ni wakuogopwa Sana ila bahat mbaya tushachelewa maana wamepenya tayar Tena Kwa idadi kubwa Sana.
Ajabu Sasa ukikutana na mrundi au mnyarwanda kwenye wallet yake hakosi KADI ya ccm so washaujua udhaifu WA hii nchi .
Mrundi hakosi KADI ya ccm na tishet hata Moja ya ccm ya...
Nchi ambayo ni rahisi kuingia ni tanzania yaan nimekaa ngara warundi wanaingia kama wanaenda chooni na Kuna wengine wanawapiga makofi watanzania na matus juu na hakuna nayejar.
Yaan nilipata hasira kuona warundi wanamiliki NIDA Tena wanatamba kabisa kua sisi watanzania tunapenda pesa so NIDA...
Hii nchi viongoz wanajar Siasa tu Ili wabakie madarakan ila kuhusu usalama WA nchi ni sifuri kabisa.
Mfano mdogo nimekaa Sana hapo Ngara - Kagera ,yaan hiyo wilaya wamejaa warundi na wanyarwanda mbaya Zaid wengi wanamiliki Hadi NIDA wanazipata Kwa shilingi elfu hamsini tu.
Ingia bar yoyote ya...
Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu.
Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe.
Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa .
Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.