Recent content by mbwe

  1. mbwe

    DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

    Huyu ummy mwalimu sijui kilitumika kigezo Gani Hadi kupewa uwaziri nyeti kama huu. Ni mmama mweupe Sana kichwani . Ni mjanja mjanjasana. Mwingine ni mhagama. KWAMBA HII NCHI HAMNA WATU SMART HADI TULETEWE AKINA UMMY KWELI!!
  2. mbwe

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Mara nyingi manzi akikutana tu na Hawa viumbe Anza kuhesabu maumivu. Kuna madoctor Askari Muuza nguo za dukani Wasusi WA kiume Maafisa bank Wauza chips Akitoa tu namba Kwa hao watu Anza kujiengua mapema. Na kama hutak kujiengua basi kubal kushare. Kuna manzi nilimpenda Sana nilijiaminisha Sana...
  3. mbwe

    Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe

    Mbona hata wewe unaonekana una akili za kuvukia Barabara tu. Yaan watu wangekua wanaadhibu watu Kwa hisia basi wewe ungekua mifupa had saiz . Zilitungwa Sheria na kanuni kuepuka mihemuka kama hii yenu
  4. mbwe

    Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe

    Kwahiyo kama ni taifa Kuna Sheria Gani inamzuia kuonana na ndugu zake? Umejuaje labda Kuna mzigo aliwaagiza wamletee ukitokea nchini kwao? Punguzen upimbi wenu nyie kapambaneni uwanjan mpate ushindi . Mara nyingi mnaanza nyie Simba wakilalamika mnakua na sabab za kiwaki Sana ila yakiwageukia...
  5. mbwe

    Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

    Majabu ya mpira hayajawahi kuisha usishangae yanga akadraw nyumbani na hao warabu Koko alafu akaenda Cairo kumchinja mwarabu pure. Au yanga akashinda home and away vyote vinawezekana kwenye mpira
  6. mbwe

    Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

    Ivi ikatokea mkapigwa au draw si mtajiongezea aibu mara mbili. Vitu vingine ni upumbavu WA hali ya juu sana
  7. mbwe

    F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

    Tuache kuogopa kuongea ,kocha wa Simba ni mweupe kichan Hana mbinu. Tena huyu kocha nnatabiria hamalizi huu msimu akimaliza basi itakua bahat sana
  8. mbwe

    Uchawi waiponza Simba

    Mbona unaruka ruka habar vipi shomari kapewa adhabu ya nini? Clement mzinze kapewa adhabu ya nini? Punguzen ujinga
  9. mbwe

    FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

    Simba ninayoijua Mimi Bado Sana . Ushindi WA ngekewa tu huu . Kwa Mpira huu Azam anaenda kutukanda za kutosha
  10. mbwe

    FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

    Ukweli usemwe Kocha WA Starz nae anakwama dizain ameridhika na hiyo draw. Why asijilipue hizi dakika za mwisho aingize akina kibu denga Ili wapush kilazima? Draw inatusaidia nn sisi ni heri tufungwe Kwa kujilipua kuliko draw isio na faida. Waige Kwa Gambia dhidi ya cameroon
  11. mbwe

    Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

    Yaan ni shida hii jamii ni wakuogopwa Sana ila bahat mbaya tushachelewa maana wamepenya tayar Tena Kwa idadi kubwa Sana. Ajabu Sasa ukikutana na mrundi au mnyarwanda kwenye wallet yake hakosi KADI ya ccm so washaujua udhaifu WA hii nchi . Mrundi hakosi KADI ya ccm na tishet hata Moja ya ccm ya...
  12. mbwe

    Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

    Nchi ambayo ni rahisi kuingia ni tanzania yaan nimekaa ngara warundi wanaingia kama wanaenda chooni na Kuna wengine wanawapiga makofi watanzania na matus juu na hakuna nayejar. Yaan nilipata hasira kuona warundi wanamiliki NIDA Tena wanatamba kabisa kua sisi watanzania tunapenda pesa so NIDA...
  13. mbwe

    Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

    Hii nchi viongoz wanajar Siasa tu Ili wabakie madarakan ila kuhusu usalama WA nchi ni sifuri kabisa. Mfano mdogo nimekaa Sana hapo Ngara - Kagera ,yaan hiyo wilaya wamejaa warundi na wanyarwanda mbaya Zaid wengi wanamiliki Hadi NIDA wanazipata Kwa shilingi elfu hamsini tu. Ingia bar yoyote ya...
  14. mbwe

    Hayati Magufuli alikuwa nani hasa? Mbona kila kundi linamlilia

    Picha tafadhar ikionyesha wakimlilia
  15. mbwe

    Yanaitwa Majiji Ila Mwaka Unapita Ujenzi wa Magorofa Mapya Hayafiki 10. Mbeya & Tanga Mjitafakari, Mnazidiwa Hadi na Morogoro

    Mwanzon watu walipokua wanaiponda mbeya nilidhan ni wivu tu. Kwanza ieleweke mbeya ni home natokea wilaya ya Rungwe. Juz nilikua Huko kula sikukuu Sasa wakat wa kurud ikanibid niende had soko matola kukata ticket ,kweli nikafanikiwa . Ile nitafute lodge Sasa nikahangaika mwisho nikapata Moja...
Back
Top Bottom