Hili swala la kuvujisha code za simba lipo kwenye uongoz hasa upande wa wanachama.
Huu upande wa wanachama wa kuua galia kwa makini sana.
Lakin pia huyu Ahmed sijui kwann simwamin kabisa.
Pia kauli ya manara kua simba haitabeba ubingwa kwa miaka hata 10 wasipoligundua tatizo sio swala la kubedha
Hata baba levo aambiwe na watu wake wa karibu kua bungeni haendi pale kawekwa kama chambo tu.
Lile jimbo ni la Zitto iwe kwa kura halal au vinginevyo.
Namuona baba levo ashaanza kijiaminisha kua kigoma mjini ni yake.
Ushaur asijetumia hela zake kizembe aende kwa step kubwa sana lile jimbo ni la...
Kuna ka manzi nasaidiana na wengine kukamiliki ajabu kanamilik laini 8 na kanataka kuongeza lain ya tisa.
Sasa kushangaa wewe unayezungumzia lain mbili.
Ukitaka kuelewa hizi timu zinatumika kisiasa na kwa makusudi fulani utaelewa kwenye huu usajil.
Simba hii mpaka saiz haina namba 10 na ndio namba inayotuumiza sana na kutuangusha na viongoz wanalijua hili ila ajabu wanasajil ujinga ujinga tu.
Niseme tu waza yanga ataendelea kubeba ubingwa hadi...
Huyu mo hawajamuamulia tu ,simba na yanga ni mboni ya serikali .
Siku akitaka kuleta sintofahamu atapokonywa hizo hisa na hatakua cha kufanya maana vilio vikizid had kuleta viashiria vya uvunjifu wa aman ajiandae kuachia simba kwa kupenda au kutopenda .
Kanga inamhusu huyu mhindi mhuni
Mbona hadi kwenye system tena ngazi ya juu washajipachika.
Nimekaa kabanga pale kobero boda ya tz na burundi kiukwel warundi washavamia tz kirahis sana alafu wakifika tz cha kwanza wanamiliki kadi ya ccm na kadi ya yanga.
Wengi wanamiliki hadi id za mpiga kura hadi nida
Yanga ilipigania uhuru toka kwa nan na hiyo vita ilikua ikipiganwa wapi?
Tumesoma historia sijawah kuona neno yanga kua ndie aliyelikomboa hili taifa.msipende kujipa umuhimu kwenye hakuna.
Uhuru tumepata mwaka 1961 sijawah ona popote neno yanga kwenye harakat za ukomboz bahat mbaya hiyo timu...
Huyu karia acha yanga wamwendeshe watakavyo yote kayataka yeye,mke wake kapewa ajira na gsm ule ulikua mtego mkubwa sana ,karuhusu gsm adhamini timu nane .
Hapo hana ujanja na watadili nae sana .
Safar hii akichomoka na kuupata huu urais nadhan atajifunza kuwakazia yanga vilivyo na kuondoa janja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.