Recent content by Mbwambom

  1. M

    Msaada: Nakojoa mkojo wa moto

    Mwanzoni ulikuwa wa baridi?
  2. M

    Kinana ampiga stop Mwigulu, amtaka asitishe ziara zake zote za Mikoani!

    Mtuhumiwa mwenyewe kanyamaza au wewe ndo propaganda wake!
  3. M

    Vigezo vitakavyotupa Rais bora 2015 (Dini, Muungano, kipato, elimu, Katiba Mpya, wafadhili)

    Sasa hapa kuna tatizo. Nashukuru kwa wote mlochangia mmeonyesha jinsi ambavyo wa tz tusivyo na ubaguzi. Mie mkristo ila sijali sana hata akirudia mwuslam mara mia. Tunachotaka ni mtu mwadilifu, anayejua maana ya kuitwa Raisi kwa nchi maskini kama hii maana yake ni nini.
  4. M

    Njia 10 za kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari lako

    Mleta mada anastahili kushukuriwa. Watu hulipa fedha kupata elimu kama hii. Bravo.
  5. M

    Ni simu gani zina nguvu ya network ?

    Ila pia wakati tunapomsaidia ndugu yetu hapa na sisi tukisaidiana pia tuunganishe na aina ya simu zinazokaa na charge muda mrefu. Althoght najua utumiajia na kufungulia internet data vina mchango wa kutumia charge. KARIBUNI WADAU.
  6. M

    Ni simu gani zina nguvu ya network ?

    Swenti naona kama umenishawishi. Anyway swali pina mantiki na hapa pia tunasaidiana na kuuliza sio ujinga. From my experience na smart phone kuna vitu kadha vinahusika. Aina ya mtandao, umbali na congestion ya server, aina ya simu na originality yake.
  7. M

    Star TV kuna jamaa anaongea kwa jazba muda huu

    Ila pamoja na kuongea sana anaonekana yuko deep na anachoongea.
Back
Top Bottom