Recent content by MBWAGA II

  1. MBWAGA II

    Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

    Nimecheki kwenye website ya WCF na website ya wizara ya kazi ajira na wenye ulemavu.kote sijaona kabisa hiyo kitu.Ngoja nicheki na pengine.Yaani hata tovuti ya serikali hamna.Majanga.
  2. MBWAGA II

    Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

    Asante sana mkuu.Itabidi nitafute ofisi zao huku mkoani.
  3. MBWAGA II

    Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

    Hapana,labda nyuzi zimefanana tu.Ama mahitaji ya hiyo test yamekuja kwa wakati mmoja.Kama unajua lolote kuhusu hiyo kitu,please share hapa.
  4. MBWAGA II

    Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

    Mkuu hiyo ni test inayomsaidia mwajiri kupima vitu vile vya ziada kama situational analysis,problem solving,thinking capacity,uaminifu,uwezo wa kufanya maamuzi.etc
  5. MBWAGA II

    Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

    Habari za Ijumaa wakuu, Naomba kufahamishwa namna ya kupata online test inayoitwa "Logic Assessment and Psychometric Test". Kwa gharama ya chini zaidi au ikiwezekana iwe free,maana nimejaribu kuangalia baadhi ya links gharama zake ni kubwa kwangu kwa sasa ni usd 50-80.Nahitaji kuifanya hiyo...
  6. MBWAGA II

    SOFTWARES-PUNGUZA GHARAMA,ONGEZA FAIDA NA UFANISI

    Habari wakuu.Karibu ufurahie teknolojia mpya zitakazoongeza ufanisi,kupunguza gharama na kuongeza faida katika kazi zako.Tuna software mbalimbali kwaajili yako.Nazo ni: -Accounting Package for service providers and goods suppliers. -Hotel management system -College/school management systems -HR...
  7. MBWAGA II

    HODI HODI WAKUU...................

    Asanteni nyoote kwa ukaribisho.
  8. MBWAGA II

    HODI HODI WAKUU...................

    Habari zenu wakuu, mimi ni mwanachama mpya wa jf,japo ni msomaji mzuri tu wa comment za watu bila kuwa mwanachama rasmi.JF imekuwa mtandao wangu bora wa kijamii tangu kitambo sana.Mnipokee na kunikaribisha. Asante,Jumapili njema.
Back
Top Bottom