Recent content by Mbuzingombe

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Flatei Massay arejea CCM, baada ya kuwasikiliza wazee wa chama

    Huyu si ndiye aliepiga sarakasi bungeni? Kama ndiye ni basi mpumbavu sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu hajaokotwa, ni System wa Kamati Kuu ya CCM toka 2002

    Kiwanda Cha kwanza kivipi we chawa, Wakati Scania zinaunganishwa hapo kibaha TAMCO ulikuwa bado hujazaliwa, Imba mapambio Yako lakini usipotoshe, kwamba ni kiwanda Cha kwanza Tanzania,
  3. M

    JamiiForums Tanzania INEC iliundwa ili kuhakikisha chaguzi zetu zinakuwa za Haki, Huru na zakuaminika

    Bora hata huyo mbwa awe mkali, Hawa wamechukua mbwa Koko wakampaka rangi ya madoadoa, sasa Wanamwona ni chui
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mtanzania mwenye asili ya Uturuki auawa na wasiojulikana

    Jamaa walijiamini sana, kufanya tukio hapo karibu na ofisi za wale jamaa wa Kaunda suti,
  5. M

    JamiiForums Tanzania Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

    Mnampitisha mtu Ambae hata fomu ya kuomba kugombea hajachukua na kujaza, Haya maajabu utayakuta CCM tu, Tena niwaulize ni lini Samia aliomba kugombea urais wa JMT?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima na Komredi Polepole wasiifanye CCM ni Mnara wa Babeli!

    Bwashee acha unaa, wale G55 wa CDM mliwaandalia Hadi ukumbi, Leo kwenu imekuwa haeramu
  7. M

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA na ACT Wazalendo wamekuwa kama Fisi wanaosubiria Mizoga iliyokatwa CCM

    Mlinzi wa CCM, shujaa Polpole kaamua kujikataa, bado wewe na Mzee Mgaya
  8. M

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA na ACT Wazalendo wamekuwa kama Fisi wanaosubiria Mizoga iliyokatwa CCM

    Hakuna uelewa Dunia hapo, wewe Kila kinachokujia kichwani unakuja kupost mada zako uchwara huku, Badilika Jo, umri wetu umesogea, haya mambo ya fitina waachie Mwashambwa na wenzie huko CCM
  9. M

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA na ACT Wazalendo wamekuwa kama Fisi wanaosubiria Mizoga iliyokatwa CCM

    Makada wenzio unawaita mizoga? Kwako kina Mpina na wengine walokatwa ni mizoga, Siasa zisikutie upofu Jo, Dunia hii Haina mwenyewe, walipita Mitume na wafalme, hivyo hata hiyo CCM Yako haitodumu milele
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ni wiki moja tangu nimalize chuo, ila nimeanza kupauka ni Nini hii😔

    Hahaa, Hapa unamcheka jamaa alivyopauka ndani ya muda mfupi,
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Siku ya kung'atuka kwake, Kasimu Majaliwa alisisitiza mara nyingi sana kwamba atakayemrithi awe Mzaliwa wa Ruangwa, Je Arusha haina Wazawa?

    Ndugai ana roho ya kishetani, walimtemesha Uspika kwa nguvu sasa kabakia kama kuku aliyenyeshewa na mvua,
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ushauri Mpina: Kagombee kupitia chama chochote, utapita maana wananchi wako upande wako kwa 100%

    Wakiona dhulma inafanyiwa CDM, wanaona kama haiwahusu, sasa wanapitishwa mulemule, sasa ni kilio kuanzia Waitara, Gambo, na sasa Mpina. Hapo bado kutafutiana kesi, na kufilisiana kwa kubambikwa makodi makubwa ya miaka kumi iliyopita,
  13. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ushauri Mpina: Kagombee kupitia chama chochote, utapita maana wananchi wako upande wako kwa 100%

    Kupita sio shida, shida ni kutangazwa kuwa umeshinda kwa mfimo wetu wa amri kutoka juu, Nina uhakika Mkurugenzi atakaemtangaza atakiona cha Moto kutoka kwa Mkwe wa Taifa wa TAMISEMI
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Simiyu yamtupa nje Luhaga Mpina kuwania ubunge jimbo la Kisesa

    Hata sasa mkuu, kama hutambuliki na wakubwa huko CCM, bado huwezi kupita, Pia wakikuhitaji hata kama hujulikani unaweza kuwa mbunge hata pengine uwaziri, rejea nzuri ni kwa Mwana FA, walivyomtupa Mzee Adadi Rajabu, DCI mstaafu
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Simiyu yamtupa nje Luhaga Mpina kuwania ubunge jimbo la Kisesa

    Yakiwafika ndio kama ya Waitara anamwaga michozi, ili Hali amekula mshahara wa 18m kwa mwezi kwa miaka mitana hapo bado posha na kiinua mgongo Cha 400m
Back
Top Bottom