Habari wadau wa ajira,
Naomba kuuliza hivi mtu akikuambia umpe CV yako yaani Curriculum vitae ana maanisha hiyo CV na vyeti au unaweza kutuma CV pekee yake?
Habari wadau wa ajira,.
Naomba kuuliza hivi mtu akikuambia umpe CV yako yaani Curriculum vitae ana maanisha hiyo CV na vyeti au unaweza kutuma CV pekee yake?
Kwa sasa amekubali tuandike Majina yetu Mimi na yeye hataki tuwaandike watoto. Lakini anataka tuandike hivyo halafu na kile kiwanja changu tuandike hivyo pia. Nyumba yenyewe sijamalizia naanza kufikiria kumwachia japo nawafikiria wanangu.
Aise una tabia Kama yangu sema Mimi bado sijatoka hapa nilipo nina miaka sita sasa ila najua nikitoka kilio kitakuwa si cha kitoto. Ila hata leo nikipata mchongo nitaondoka. Mimi ni mhasibu nipo Arusha nina degree sina CPA bado
Acha tu sikujua hizo changamoto zingetokea. Ila hili limenivuruga kabisa. Yaani aliposema sema tuandike Majina yetu wote akapendekeza pia na kile kiwanja changu tufanye hivyo hivyo pia. Aise ni mtihani mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.