Uwe unatumia akili kidogo tu ya kuzaliwa;
1. Manara hana wadhifa wowote Yanga, anaongea mambo yake mwenyewe kama wewe, uongozi wa Yanga unahusika vipi?
2. Uwanja wa Taifa haumilikiwi na Yanga, ni uwanja wa Taifa (Serekali), haingii akilini kusema makomandoo sijui kutoka nchi gani wamezuia simba...
Hata mimi ningekuwa mwenyekiti wa chama au raisi wa chama au mtu yoyote, nikipewa hela na majizi inayoibia wananchi siwezi kuiacha hiyo hela , na jua ni hela kiduchu inawarudia wananchi.
Ndivyo wanasiasa wa tz walivyo, wanaingia kwenye siasa wakitegemea kupata maslahi zaidi au kuukata.
Kuna mwanasiasa mmoja ni Prof. yeye alikiri mwenyewe kwamba aliokotwa jalalani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.