Recent content by MBUTAIYO

  1. MBUTAIYO

    Serikali yatoa Tsh. Bilioni 66 Kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

    Sio katoa, sema ameidhinisha! Watanzania lazima tuamke, hizo ni kodi za wananchi na huenda yeye hakatwi hata senti.
  2. MBUTAIYO

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Na ukizingatia ni mtu wa Arachuga, anadumisha style zao.
  3. MBUTAIYO

    Naomba Kufahamishwa. Hivi Kongamano la Kumbukizi ya Hayati Sokoine hufanyika kila mwaka au? Mbona kama limepewa uzito sana mwaka huu?

    Sema tu Hayati Waziri Mkuu na Makamu wa Rais, Rashid Mfaume Kawawa amesahaulika mazima. Sijui kama kuna mtu alishawahi kumsikia akitajwa popote.
  4. MBUTAIYO

    Paul Makonda kupokelewa kishujaa Arusha, Magari ya msafara yafurika uwanja wa ndege kumsubiri atue

    Tena hukohuko walisherehekea saaana! Sasa anapelekwa mhalifu kipenzi cha mama, sijui itakuwaje,,,
  5. MBUTAIYO

    Ndugu zangu, wala hakuna uzuri kwenye jambo hili

    Huyu jamaa ni wakuhurumiwa, bado yuko kwenye Analog!
  6. MBUTAIYO

    Makonda kuapa kesho kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ataondoka na msafara wa gari moja, tofauti na awali magari sabini

    Kwa sifa hizo asingeshushwa kutoka kule juu hadi huku chini atakapokemewa na Mwenezi Taifa atakapofanya ziara zake!
  7. MBUTAIYO

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Israeli wako vizuri sana, hata hapa kwetu ndio waliotusaidia na kuanzisha JKT, wakati huo ilikuwa ukimaliza chuo au high school lazima upige JKT mwaka mmoja. Hii ilisaidia sana kujenga ukakamavu na uzalendo, na ukitoka JKT ulimudu kukabiliana na maisha yoyote utakayokutana nayo. Wanasiasa wetu...
  8. MBUTAIYO

    Mrisho Gambo: Ninao ushahidi wa watu waliotapeliwa Magari na Godbless Lema

    Umemaliza mkuu, Ni aibu kubwa sana kiongozi kuongea majungu badala ya kuongelea mikakati ya maendeleo ya wananchi wake. Kweli ccm ni janga la Taifa, Mungu tunusuru na hili janga.
  9. MBUTAIYO

    Nikiwa sijafanya mapenzi kwa muda mrefu Kichaa kinapanda

    Asante Kaka, Ukichaa ni ukichaa, Kama wewe mara zote unawaza ngono tu, basi wewe ni kichaa wa ngono!
  10. MBUTAIYO

    Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

    Wazazi wake wamezaliwa wapi? Wazazi wake wamezikwa wapi? Na yeye Mwinyi amezaliwa wapi? Mtu kupelekwa mahali nje ya nyumbani iwe ndani nchini au nje ya nchi kwa ajili ya masomo na kutafuta maisha, hata akae muda gani, haihalalishi kuwa ndio nyumbani kweao!
  11. MBUTAIYO

    Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

    Watanzania wooote wana KERO! Atamaliza kuwasikiliza lini? Naomba Watanzania wajitokeze kwa wiiingi wooote ili dunia ione jinsi ccm ilivyoshindwa kuwahudumia wananchi, hadi waende kumpigia magoti mwenyekiti wao.
  12. MBUTAIYO

    Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

    Kuna agent wa SONY anaitwa ANISUMA, wako jengo la Hydary Plaza ground floor, hapo utaona system mbalimbali za SONY. Kwa kawaida hizi home theater na sound bars ni kwa ajili ya kuongeza sauti toka kwenye TV ili kupata sound effects za show mbalimbali za TV. Kwa muziki mzuri wa nguvu tafuta HIFI...
  13. MBUTAIYO

    Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

    Kama wewe ni mtu unapenda mziki mnene mzuri kama ule wa zamani wa vitofa vya kupanga- Tuner, Cassete Deck, Equilizer na Amplifier, Sony siku hizi wana HIFI MUSIC SYSTEMS za series SHAKE-10D to SHAKE-100D. Kwa DSM zinapatikana SHAKE-10D hadi SHAKE-70D.
  14. MBUTAIYO

    DOKEZO Ajenda ya ‘KUMSEMEA MAMA’ yaipasua UVCCM

    Wacha wafu wazikane! Huku nyuma makonda naye anasema wameshindwa kazi, tunasubiri ripoti yake.
Back
Top Bottom