Israeli wako vizuri sana, hata hapa kwetu ndio waliotusaidia na kuanzisha JKT, wakati huo ilikuwa ukimaliza chuo au high school lazima upige JKT mwaka mmoja. Hii ilisaidia sana kujenga ukakamavu na uzalendo, na ukitoka JKT ulimudu kukabiliana na maisha yoyote utakayokutana nayo. Wanasiasa wetu...
Umemaliza mkuu,
Ni aibu kubwa sana kiongozi kuongea majungu badala ya kuongelea mikakati ya maendeleo ya wananchi wake.
Kweli ccm ni janga la Taifa, Mungu tunusuru na hili janga.
Wazazi wake wamezaliwa wapi?
Wazazi wake wamezikwa wapi?
Na yeye Mwinyi amezaliwa wapi?
Mtu kupelekwa mahali nje ya nyumbani iwe ndani nchini au nje ya nchi kwa ajili ya masomo na kutafuta maisha, hata akae muda gani, haihalalishi kuwa ndio nyumbani kweao!
Watanzania wooote wana KERO!
Atamaliza kuwasikiliza lini?
Naomba Watanzania wajitokeze kwa wiiingi wooote ili dunia ione jinsi ccm ilivyoshindwa kuwahudumia wananchi, hadi waende kumpigia magoti mwenyekiti wao.
Kuna agent wa SONY anaitwa ANISUMA, wako jengo la Hydary Plaza ground floor, hapo utaona system mbalimbali za SONY. Kwa kawaida hizi home theater na sound bars ni kwa ajili ya kuongeza sauti toka kwenye TV ili kupata sound effects za show mbalimbali za TV. Kwa muziki mzuri wa nguvu tafuta HIFI...
Kama wewe ni mtu unapenda mziki mnene mzuri kama ule wa zamani wa vitofa vya kupanga- Tuner, Cassete Deck, Equilizer na Amplifier, Sony siku hizi wana HIFI MUSIC SYSTEMS za series SHAKE-10D to SHAKE-100D.
Kwa DSM zinapatikana SHAKE-10D hadi SHAKE-70D.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.