Recent content by Mburia

  1. Mburia

    Ni vigumu sana kuwashinda Chadema kwenye jicho la Kisheria, ndo mana mbinu zote za CCM na System zinakwama

    Magufuli aliwahi kusema Watanzania siyo wajinga, kuna siku watazinduka kwenye usingizi wa pono...
  2. Mburia

    PreGE2025 John Heche: OCD mimi sio Mke wako, nasema huna chakunifanya hii nchi sio ya Mama zenu

    Ahaaaa kumbe dalali, maana ndiyo wanavaa hivyo nowadays,hasa madalali wa Morogoro..
  3. Mburia

    PreGE2025 John Heche: OCD mimi sio Mke wako, nasema huna chakunifanya hii nchi sio ya Mama zenu

    Uzuri ni kwamba kamwe hutakaa uwe walau mgambo, itabaki tuu ningekuwa..😂😂
  4. Mburia

    Watanzania tupige magoti kwa Mungu kumuombea Prof. Janabi ashinde Ukurugenzi WHO kanda ya Afrika

    Wewe binafsi utafaidika na nini? Si bora abaki hapa aendelee kuwafundisha wabongo lishe bora na good lifestyle??😂😂
  5. Mburia

    Watanzania tupige magoti kwa Mungu kumuombea Prof. Janabi ashinde Ukurugenzi WHO kanda ya Afrika

    Faida yake ni ipi kwa mfano? Mfano yule spika wa IPU wewe umefaidikaje?
  6. Mburia

    Wataalam wa kilimo naomba kujua madhara ya dawa ya kuua magugu shambani

    Sioni kwa sasa kwa sababu mahitaji ya chakula, climate change and other factors zimefanya uhitaji wa chakula na mazao ya biashara kuwa mkubwa sana wakati gharama za kulima ziko juu sana. Ili kwa mfano upate gunia 15 -20 za mahindi kwa ekari moja ni lazima utumie pesticides, mbolea ya...
  7. Mburia

    Wataalam wa kilimo naomba kujua madhara ya dawa ya kuua magugu shambani

    Side effects za pesticides zipo. Lakini kwa kilimo cha sasa, hasa large scale au commercial farming, matumizi yake hayaepukiki. Huwezi kulima ekari kwa mfano 30 au 50 za mahindi au mpumga usitumie madawa ya magugu, mbolea nk
  8. Mburia

    Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni

    Niko Mpanda, mtaa wa Simba kwenye Bar moja maarufu hapa, nimewauliza wenyeji kuhusu huo mgodi naona wanashangaa hiyo habari. Kuhusu Railway inapoishia reli pia si kweli kwamba inaishia kwenye mlima. Naweza kuleta hata picha, ni stesheni ndogo tuu na ya kizamani.
  9. Mburia

    Naishauri TEC ifanye maandamano ya amani kupinga kilichotokea kwa Fr. Kitima

    "Tutaandana" ?? Sema wewe nyumbu proMax hutaandamana..
  10. Mburia

    Wakatoliki Tanzania kwa Uwingi na Ushawishi wao wakiamua Samia na CCM yake ianguke Madarakani ni jambo la muda mfupi tu

    Kwenye ishu ya Mo kuwa mpole tuu jombaa, usilolijua ni sawa na usiku mnene...
  11. Mburia

    Naishauri TEC ifanye maandamano ya amani kupinga kilichotokea kwa Fr. Kitima

    Kwa hiki ulichoandika wewe ni nyumbu proMax, ni kwa sababu hujitambui tuu...
  12. Mburia

    Watumishi wa serikali mliwezaje kutoboa, mbona mimi naenda kushindwa

    Kanuni za kiuchumi zinasema kodi ya nyumba isizidi asilimia 10 ya kipato chako mkuu...
  13. Mburia

    Itakuwaje siku Muungano ukivunjika?

    Tatizo history hamfuatilii mko bize na mipira Vs Mondi na Kiba. Umewahi kufuatilia Tanzania iliundwaje baada ya muungano? Ukiacha kuchanganya udongo na mengineyo ukweli ni kwamba vitu vingi vya iliyokuwa inaitwa TANGANYIKA vilibadilishwa na kuwa TANZANIA...
  14. Mburia

    Itakuwaje siku Muungano ukivunjika?

    Badala ya kujadili hoja wewe umepaniki. Mmoja wa waasisi wa huu muungano aliwahi kusema muungano ni sawa na koti tuu likikubana unalivua. Mzee mwingine aliwahi nukuliwa akisema angekuwa na uwezo kisiwa hiki angelikisogeza mpaka katikati ya bahari ya hindi. Sasa wewe mwenzangu na miye uliyetoka...
Back
Top Bottom