Recent content by Mbunda E

  1. M

    GE2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Bila kutoa pesa chama chochote huwezi shinda kura ya maoni. Ukishakuwa mbunge utawakumbuka waliokupigia kura? Kila mtu anakufa na chake. Mwenye kitu ndio anaongezewa siku zote
  2. M

    GE2020 Kilio hiki kikufikie Dkt. Bashiru na Rais Magufuli. Rushwa yatoa mgombea Singida Magharibi

    Chama hakifanyii kazi maoni ya kwenye mitandao, wasilisha malalamiko yako sehemu husika na uwe na ushahudi usio na shaka
  3. M

    EPSON L360

    Epson l360. ina print,scan na kutoa copy. Ni nzima,inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Price: Tsh.260,000 Contact: 0714258187 Ubungo maji- Dar es salaam.
  4. M

    Mama Naomi Sijaona, njoo chukua jimbo hili la Namtumbo

    Ubunge ni uwakilishi,ni kazi inayo hitai mtu mwenye nguvu za kimwili,kiakili na kiroho.Mm sidhani kama mtu ambae amestaafu kazi eti aende akawe mbunge,mwakilishi wa wananchi.Huyo mama amestaafu,hivyo ni bora apumzike awapishe vijana wapige kazi.Hayo ndio maoni yangu.
  5. M

    Pamoja na yote, huyu ndio moyo wangu uliompenda

    Umekuwa mtumwa wa mapenzi kwa kujitakia mwenyewe.Mungu amekupa akili na utashi,lazima uweze kuthibiti mihemiko,hisia nk.Mpende akupendae,acha ujinga.Tulia,omba Mungu,utakutanishwa na mwanamume munaye pendana.Kwenye mapenzi lazima kuwe na ulinganifu wa upendo,vinginevyo mmoja anakuwa mtumwa.Kamwe...
  6. M

    Wanawake wa staili hii, wanakera mno

    Papuchu hadi NDOA kwani ni bikira?kama mwanamke yupo bikra naweza kubali,tena bikra iliyopimwa na kuthibitishwa na Daktari.Sio umeshagawa huko hafu inaleta habari za kusubiri hadi ndoa.
  7. M

    Wanawake wa staili hii, wanakera mno

    Duuuuu!mtihani,hayo yote unakuwa huna kazi nyingine za kufanya???
  8. M

    Wanawake wa staili hii, wanakera mno

    Hapo ni kukimbia,hakuna mtu timamu hapo
  9. M

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    Achana na hiyo biashara ndugu yangu.Nimefanya utafiti,na majuzi tu nimetoka Handeni ofisi za maliasili.Kuna maushuru hayana kichwa wala miguu.Hapo juu umepewa mambo 4.Ngoja nikuongezee 2.Utahitajika pia kulipia 1.ushuru wa halmashauri unakotoa mkaa elfu 1 kwa kila gunia,2.Ushuru kwenye mfuko wa...
  10. M

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    Umesahau kumtajia ushuru wa halmashauri sh.1000 kwa gunia,pia ushuru wa upandaji miti 5% ya ushuru wa s/k.
  11. M

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Chukua hilo wazo la biashara ya nguo na ulifanyie kazi,limetulia.Do it on weekend.
  12. M

    Kitabu cha ujasiriamali-MBINU ZA BIASHARA NA MAARIFA YA KUPATA PESA NA UTAJIRI

    Vitabu vingi vya namna kama chako vimejaa nadharia na maelezo yasiyo tekelezeka.Ni janja janja tu ya waandishi ktk kujipatia fedha.Hakunaga jipya kwa kweli.
Back
Top Bottom