Bila kutoa pesa chama chochote huwezi shinda kura ya maoni. Ukishakuwa mbunge utawakumbuka waliokupigia kura? Kila mtu anakufa na chake. Mwenye kitu ndio anaongezewa siku zote
Epson l360.
ina print,scan na kutoa copy.
Ni nzima,inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.
Price: Tsh.260,000
Contact: 0714258187
Ubungo maji- Dar es salaam.
Ubunge ni uwakilishi,ni kazi inayo hitai mtu mwenye nguvu za kimwili,kiakili na kiroho.Mm sidhani kama mtu ambae amestaafu kazi eti aende akawe mbunge,mwakilishi wa wananchi.Huyo mama amestaafu,hivyo ni bora apumzike awapishe vijana wapige kazi.Hayo ndio maoni yangu.
Umekuwa mtumwa wa mapenzi kwa kujitakia mwenyewe.Mungu amekupa akili na utashi,lazima uweze kuthibiti mihemiko,hisia nk.Mpende akupendae,acha ujinga.Tulia,omba Mungu,utakutanishwa na mwanamume munaye pendana.Kwenye mapenzi lazima kuwe na ulinganifu wa upendo,vinginevyo mmoja anakuwa mtumwa.Kamwe...
Papuchu hadi NDOA kwani ni bikira?kama mwanamke yupo bikra naweza kubali,tena bikra iliyopimwa na kuthibitishwa na Daktari.Sio umeshagawa huko hafu inaleta habari za kusubiri hadi ndoa.
Achana na hiyo biashara ndugu yangu.Nimefanya utafiti,na majuzi tu nimetoka Handeni ofisi za maliasili.Kuna maushuru hayana kichwa wala miguu.Hapo juu umepewa mambo 4.Ngoja nikuongezee 2.Utahitajika pia kulipia 1.ushuru wa halmashauri unakotoa mkaa elfu 1 kwa kila gunia,2.Ushuru kwenye mfuko wa...
Vitabu vingi vya namna kama chako vimejaa nadharia na maelezo yasiyo tekelezeka.Ni janja janja tu ya waandishi ktk kujipatia fedha.Hakunaga jipya kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.