Wazee nimejichanganya,nimekula kimasihara demu,kumbe ni shoga wa wife,jumapili naona amekuja kumsalimia wife,anasema shost wake,wamesoma nae chuo.Dadaki,hapa sasa ndio mbinu za kivita zinatakiwa.
Mahenge, Mahenge.
Safari ya kwenda Mahenge ilinifanya nile tunda kimasihara kwa binti mrembo, mtoto mwenye sura yake.
Mahenge kuna branch yetu, nikapewa majukumu ya kwenda kufanya audit maana kuna mwamba alizingua na akaacha kazi .
Bosi kanitimua ofisini anataka report yake, mim bado nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.