Wkend iliyopita nimeenda saloon kunyoa, mitaa fulan ya Tax palace, wazee wa mji kasoro wajua.Baada ya kunyoa nikabiwa kuna huduma ya massage pia, kama 35 K hivi, nikasema isiwe nongwa ngoja nijibless na massage, huu mwil upate shukran pia.Nikaingia kwenye kichumba na bi dada mmoja hivi bonge...
Uzi umepoa huuu jamani, sasa naanza kusimulia tunda limeliwa msibani Tanga wiki hiii, hii ni ya moto kabisa hata sijarudi bado.Ni masihara kweli kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona siku hizi, mademu wanapenda kupewa zawadi sana, nimeombwa zawadi na mke wa mtu[emoji38][emoji38], haya si majaribu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Last week, nilikuwa Mbweni hapo, karibu na shule ya Mwinyi, kuna jamaa mchoma mahindi hapo, ila kazi maalumu, amesema kuna kiwanja kinauzwa 100M, hapa nakaribia kuimalizia nami nikajenge kibanda cha mkaaa hapo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.