Recent content by Mbolabilika

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

    Hakuna 99 wala below ya 60, maenyezi mungu katuumba kua na tamaa ya kuipenda dunia kuliko akhera ingawa kwenye vitabu vya dini tunaambiwa akhera ni bora zaid kuliko dunia lakin hakuna anapataka. Kwahiyo ipo hivi kila umli unaofika unaona ulipotoka si parefu yani unaona umezaliwa juzi tu hata...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hamas waziambia nchi 18 vita visimame kwanza kabla ya chochote

    Acha kuwa na akili ya kijinga sio kilakitu mpaka utumie hesabu za kiuchumi kitu unachojisahau parestina ndio taifa pekee halijapata uhuru mpaka hii Leo imebadilika tu mbinu ya kulitawala kwahiyo hamas ni wapigania Uhuru kwahiyo unapopigania Uhuru upo tayar kwa chochote mpaka upate Uhuru wako ww...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda Waisrael

    Sijasoma hata robo jamvi lako ila wewe mru wa Rwanda upo hapa kusifia be nchi yako haiwezekan utume hilo tote
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sikutarajia Israel Wajibu kinyonge hivyo, wenda maombi yetu ya amani yamesaidia

    Hana unabii mmoja , labda uaeme anapiga ramri tu maana manabii hakuna tena ukumuona bc huyo mpiga ramri tu sio nabii
  6. M

    JamiiForums Tanzania Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Ulivyoandika utazan ww ndii neta yau umesifia sanaa, kwa ufupi hujaleta habari Bali maelezo yote yliotoa ya kusifia tu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waislamu walikuwa na nchi kubwa tatu Libya ya Gaddafi, Iraq ya Saddam Hussein na Iran. Imebaki na Iran tu

    Acha kutuambukiza ujinga wako sadam na na Libya lini walitengeneza silaha ? Watu wanaleta mdomo kwa kutegemea silaha za kununua unategemea nn halafu wanaokuuzia ndege vita ndio hao hao unataka kupigana nao ,inaonesha unaandika kwa mihemko au chuki ya kupigwa Isreal ukizan kapigwa mkristo mwenzio...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Hana akili huyo ,Iran hajalenga raia kalenga kambi za jeshi na Isreal Wana sera yao ya kuficha madhara wanaposhambuliwa ili waonekane wao Bora anategemea Nani ataingia kambi hizo za jeshi na kupiga picha ili aine yeye aliyekuwepo huko nanjilinji ,Iran level nyengine ukitaka nchi 10 bora kwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

    Huna unalolijua wee , Sasa Sadam ufananishe na Iran unaakilisawasawa kwel wee!! Sadam alikua anaunda silaha gani huko Iraq? Yani anataka vita anategemea pesa eti anunue silaha kwa wazungu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Si kwel madhara makubwa sana Ila vyombo vya magharibi vinajitahid kuficha taarifa mbaya kwa sababu kuu mbili moja haibu kwao pamoja na Isreal ya pili kuipa demand Iran siraha zake nchi nyingi zitataka kununua na wao soko kushuka lakin usikubal kua mjinga eti hakuna madhara ,jaribu kufikilia kule...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Iran prepares to open new front in Western Africa

    inajulikana kwa watu wasio kua na akili ya kumbambanua mfadhili wa ugaidi marekani Iran maadui zake anaopambana nao kila cku daesh , alqaida ambao ndio wanajulikana duniani kote vikundi vya kigaidi lakin kule Syria ndio vinafadhiliwa na marekani je unaweza kutuambia IRAN inafadhil kikundi gani...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Iran prepares to open new front in Western Africa

    chuki tu huyu zimemjaa amekua Kama mwanamke alieachika
  13. M

    JamiiForums Tanzania Iran prepares to open new front in Western Africa

    mbona unaandika kwa hasira kubwa? kwani huyo mfaransa amefanya nn chamaana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa na karama ya kulaani ningelilaani Italia (Roma) kwa kusababisha usumbufu kati ya Myahudi na Muislam

    huna akili we , uislamu na ukatoliki wapi na hauna ata kiakili japo kidogo cha kuchunguza misingi ya hizi dini mbili!! ibada ya SANAMU na uislamu wapi na wapi wakati ukatoliki ukiingia tu unakutana na SANAMU ya bikira Maria, ukatoliki umeanzishwa roma ulaya uislamu middle East na katika history...
Back
Top Bottom