Recent content by Mbolabilika

  1. M

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Sijasoma hata robo jamvi lako ila wewe mru wa Rwanda upo hapa kusifia be nchi yako haiwezekan utume hilo tote
  2. M

    Sikutarajia Israel Wajibu kinyonge hivyo, wenda maombi yetu ya amani yamesaidia

    Hana unabii mmoja , labda uaeme anapiga ramri tu maana manabii hakuna tena ukumuona bc huyo mpiga ramri tu sio nabii
  3. M

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Ulivyoandika utazan ww ndii neta yau umesifia sanaa, kwa ufupi hujaleta habari Bali maelezo yote yliotoa ya kusifia tu
  4. M

    Waislamu walikuwa na nchi kubwa tatu Libya ya Gaddafi, Iraq ya Saddam Hussein na Iran. Imebaki na Iran tu

    Acha kutuambukiza ujinga wako sadam na na Libya lini walitengeneza silaha ? Watu wanaleta mdomo kwa kutegemea silaha za kununua unategemea nn halafu wanaokuuzia ndege vita ndio hao hao unataka kupigana nao ,inaonesha unaandika kwa mihemko au chuki ya kupigwa Isreal ukizan kapigwa mkristo mwenzio...
  5. M

    Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Hana akili huyo ,Iran hajalenga raia kalenga kambi za jeshi na Isreal Wana sera yao ya kuficha madhara wanaposhambuliwa ili waonekane wao Bora anategemea Nani ataingia kambi hizo za jeshi na kupiga picha ili aine yeye aliyekuwepo huko nanjilinji ,Iran level nyengine ukitaka nchi 10 bora kwa...
  6. M

    Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

    Huna unalolijua wee , Sasa Sadam ufananishe na Iran unaakilisawasawa kwel wee!! Sadam alikua anaunda silaha gani huko Iraq? Yani anataka vita anategemea pesa eti anunue silaha kwa wazungu
  7. M

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Si kwel madhara makubwa sana Ila vyombo vya magharibi vinajitahid kuficha taarifa mbaya kwa sababu kuu mbili moja haibu kwao pamoja na Isreal ya pili kuipa demand Iran siraha zake nchi nyingi zitataka kununua na wao soko kushuka lakin usikubal kua mjinga eti hakuna madhara ,jaribu kufikilia kule...
  8. M

    Iran prepares to open new front in Western Africa

    inajulikana kwa watu wasio kua na akili ya kumbambanua mfadhili wa ugaidi marekani Iran maadui zake anaopambana nao kila cku daesh , alqaida ambao ndio wanajulikana duniani kote vikundi vya kigaidi lakin kule Syria ndio vinafadhiliwa na marekani je unaweza kutuambia IRAN inafadhil kikundi gani...
  9. M

    Iran prepares to open new front in Western Africa

    chuki tu huyu zimemjaa amekua Kama mwanamke alieachika
  10. M

    Iran prepares to open new front in Western Africa

    mbona unaandika kwa hasira kubwa? kwani huyo mfaransa amefanya nn chamaana
  11. M

    Ningekuwa na karama ya kulaani ningelilaani Italia (Roma) kwa kusababisha usumbufu kati ya Myahudi na Muislam

    huna akili we , uislamu na ukatoliki wapi na hauna ata kiakili japo kidogo cha kuchunguza misingi ya hizi dini mbili!! ibada ya SANAMU na uislamu wapi na wapi wakati ukatoliki ukiingia tu unakutana na SANAMU ya bikira Maria, ukatoliki umeanzishwa roma ulaya uislamu middle East na katika history...
  12. M

    Kremlin imesema itaingia vitani na NATO endapo wataingiza vikosi vyao Ukraine

    ndio maana ukaitwa warda, kwahiyo ukiwa na uchumi mkubwa tu unashinda vita? nikupe swal je Iran akipigana na Saudia nani atapigwa?
  13. M

    Papa: Wanaokosoa baraka za wapenzi wa jinsia moja ni wanafiki

    ingia kwenye uislamu utapata hiyo sheria kutoka mungu kuliko kusubiri uruhusiwe na papa ambae ni mtu Kama wewe ,na utambue hata akiruhusu ukifata bado una dhambi sababu utakua hujafata sheria ya mwenyezimungu utakua umefata sheria ya binadamu Kama wewe kwa maana sheria ya mungu habadiliki milele...
  14. M

    Papa: Wanaokosoa baraka za wapenzi wa jinsia moja ni wanafiki

    kwanza ni maneno mazur mazur ambayo wakristo wanapenda kujitungia ambayo hayana uhalisia wowote kwa mtu mwenye akili timamu, hivi inawezekana vipi binadamu akawa na mamlaka ya kubariki binadamu mwenzake? inawezekanaje kiuhalisia mwenye uwozo wa kubariki na mtu kwel akabarikiwa ni mwenyezimungu...
Back
Top Bottom