tume yetu sio huru ingekuwa huru kusingekuwepo na ucheleshwaji wa matokeo palle ambapo inasadika kuwa uwezekano wa upizani kucukuwa ushindi ni mkubwa matokeo yanacheleweshwa ,wakati mwingine msimamizi wa uchaguzi anatoa matokeo wakati mguu mmoja uko kwenye difender kuna uhuru gani hapo wa tume...
tz hatuna tume huru uhuru wa tume yetu upo kwa rais anayekuwa madalakani maana ndiye anayetawala kila kitu na ndiye anayeratibu kila kitu tume imebaki kama kivuli tu haina uhuru wowote ule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.