Recent content by Mboja

  1. M

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Mimi huwa najiuliza hivi nilini wa Tanzania wataamka na kujua kudai haki zao za msingi? Hivi huu ni woga tu au na ujinga pia?
  2. M

    Makamu wa Rais Samia Suluhu: Ukosefu wa dawa ni tatizo la muda mfupi

    Tanzania na upungufu wa dawa alicho fanya rais ni kama baba kwenda kununua redio wakati hamna chakula nyumbani. Hivi ni watu wangapi wameshakufa mpaka sasa? Na ukiwauliza watu wanaogopa kuitwa wachochezi, ni lini watanzania watakua siriasi na maisha yao. Ni nini kitawafanya viongozi wapende...
  3. M

    Awamu ya 5 na "Michakato!"

    Ama kweli kukosa kukosa tu wakija na michakato zero mwendo kasi zero, nakumbuka muhishmiwa mwingine kasema anaye hitaji kujenga kiwanda mahali popote atapata eneo ndani ya siku 7, hapo unaweza pata hata pale magogoni sio
  4. M

    Mbatia: Serikali hakuna ilichofanya kwenye maafa ya Tetemeko Bukoba

    Na kweli Mbatia hajakosea huyo mkulu mwenyewe pamoja na kuahirisha safari kajichimbia wapi?
  5. M

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    Jamani pengine tbc inaendeshwa kwa kutumia mafuta ya petroli ni gharama kueni wapole watu wanabana matumizi
  6. M

    Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

    Kama mtu unaongea ukweli huna haja ya kuogopa nyuma ya nondo au milioni 7.
  7. M

    Kasema anaijua njia, Tumpe nafasi!!

    mh Lakini nyota njema huonekana asubuhi.
  8. M

    Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda

    Ama kweli Tanzania nchi yaajabu. Na kiwanja cha nini mtu mwenyewe hataki kupanda ndege au kitatumika wakati anatembelewa na mshkaji kutoka Kenya wakati wa pasaka?
  9. M

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Sina furaha
  10. M

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    Mtu akishiba sana huwa anavimbirwa
  11. M

    Meya wa Jiji la Dar wa UKAWA, Chondechonde

    Mpangilio wa maduka kwaajili ya kuwafanya wananchi wasikusanyike sehem moja ni rahisi wala sio kusambaza bidhaa moja huku moja kule, hapana, Jiji la Dar linaweza kuwa na Center kama 3 hivi za maduka, na sio katikati ya mji, moja mahali fulani Barabara ya kilwa, Moja barabara ya morogoro, na...
Back
Top Bottom