Awamu ya 5 na "Michakato!"

Awamu ya 5 na "Michakato!"

Na kuhusu janga lililowapata watu Kagera - Bukoba,

Yuko wapi huyu Rais? Hajajitokeza kusema lolote kabisa!!

Sehemu kubwa iliyoathiriwa na tetemeko la ardhi ni manispaa ya Bukoba ambayo wakazi wake walimnyima kura wakawapa CHADEMA..

Hivi inawezekana akawa na "allergy" na maeneo yanayoongozwa na CHADEMA kwa kiwango hiki hata asitambue kuwa yeye ni "Rais wa wote" bila kujali itikadi zao sawasawa na kiapo chake??

Ukimya wa "Mtukufu" Rais ktk hili unatia shaka sana.

Labda kama anaumwa, basi hiyo ni kesi nyingine Mungu anisamehe maana kuugua nako ni "natural hazard" sawasawa na tetemeko la ardhi!!

Lakini kama ni mzima tu, reaction yake ktk hili inatia shaka saaaaana!!
Mh....
 
Na kuhusu janga lililowapata watu Kagera - Bukoba,

Yuko wapi huyu Rais? Hajajitokeza kusema lolote kabisa!!

Sehemu kubwa iliyoathiriwa na tetemeko la ardhi ni manispaa ya Bukoba ambayo wakazi wake walimnyima kura wakawapa CHADEMA..

Hivi inawezekana akawa na "allergy" na maeneo yanayoongozwa na CHADEMA kwa kiwango hiki hata asitambue kuwa yeye ni "Rais wa wote" bila kujali itikadi zao sawasawa na kiapo chake??

Ukimya wa "Mtukufu" Rais ktk hili unatia shaka sana.

Labda kama anaumwa, basi hiyo ni kesi nyingine Mungu anisamehe maana kuugua nako ni "natural hazard" sawasawa na tetemeko la ardhi!!

Lakini kama ni mzima tu, reaction yake ktk hili inatia shaka saaaaana!!
Maafa ni kitengo cha PM mkuu
 
Mwaka unaisha hivyo, watahamaki miaka mi5 inaishia kwny mchakato.
 
Awamu hii niliamini kuwa haina mambo ya "Michakato" kama Raia Na 1 alivyotuaminisha hasa wakati wa Kampeni ya kuingia Nyumba nyeupe! Alisikika akisema kuwa atakayeendekeza "michakato" "atatimuliwa kazi ili akafanyie michakato huko huko!"
Kumbe ahadi na uhalisia ni vitu tofauti!

1. Sasa hivi kupandishwa vyeo kumesimamishwa ili "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!

2. Ajira mpya zimesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!

3. Kupandishiwa mishahara kumesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki...ukamilike!

4. Sasa hivi watumishi wa Serikali wanasimamishwa kazi ili kupisha "uchunguzi" (mchakato)...

5.........
Hongereni wahusika kwa "michakato" murua ila 2020 msije kudai kuwa hakuna tena "michakato!"
Kusaidia wahanga wa tetemeko la ardhi Bukoba nako MICHAKATOOO
 
Naibu waziri Tamisemi kasema wapo kwenye "mchakato" wa kuwachukua wanafunzi waliosoma shahada za sayansi ambazo sio za ualimu na kuwapa mafunzo ya muda mfupi ili kuziba pengo la walimu wa sayansi ili kujiandaa vyema na "mchakato" wa Tanzania ya viwanda "mchakato" huo unakwenda sambamba na "mchakato" wa kuwapatia waalimu wastaafu ajira za mkataba kwa ajili ya kuziba pengo la walimu wa sayansi.
Ni mwendo wa MCHAKATO TU,hakuna namna sasa ni MCHAKATO TU,naomba muache kwanza ile HapaKaziTu twende na hii ya MchakatoTu naimani nitawavusha.
 
Naibu waziri Tamisemi kasema wapo kwenye "mchakato" wa kuwachukua wanafunzi waliosoma shahada za sayansi ambazo sio za ualimu na kuwapa mafunzo ya muda mfupi ili kuziba pengo la walimu wa sayansi ili kujiandaa vyema na "mchakato" wa Tanzania ya viwanda "mchakato" huo unakwenda sambamba na "mchakato" wa kuwapatia waalimu wastaafu ajira za mkataba kwa ajili ya kuziba pengo la walimu wa sayansi.
Ni mwendo wa MCHAKATO TU,hakuna namna sasa ni MCHAKATO TU,naomba muache kwanza ile HapaKaziTu twende na hii ya MchakatoTu naimani nitawavusha.
Ama kweli kukosa kukosa tu wakija na michakato zero mwendo kasi zero, nakumbuka muhishmiwa mwingine kasema anaye hitaji kujenga kiwanda mahali popote atapata eneo ndani ya siku 7, hapo unaweza pata hata pale magogoni sio
 
Wameshasahau maana yale yalikua maneno matamu tu ya kuombea kura
 
Kufungia shisha na kukamata wanaolala guest mchana
 
Back
Top Bottom