Na kuhusu janga lililowapata watu Kagera - Bukoba,
Yuko wapi huyu Rais? Hajajitokeza kusema lolote kabisa!!
Sehemu kubwa iliyoathiriwa na tetemeko la ardhi ni manispaa ya Bukoba ambayo wakazi wake walimnyima kura wakawapa CHADEMA..
Hivi inawezekana akawa na "allergy" na maeneo yanayoongozwa na CHADEMA kwa kiwango hiki hata asitambue kuwa yeye ni "Rais wa wote" bila kujali itikadi zao sawasawa na kiapo chake??
Ukimya wa "Mtukufu" Rais ktk hili unatia shaka sana.
Labda kama anaumwa, basi hiyo ni kesi nyingine Mungu anisamehe maana kuugua nako ni "natural hazard" sawasawa na tetemeko la ardhi!!
Lakini kama ni mzima tu, reaction yake ktk hili inatia shaka saaaaana!!