Kufanya miujiza kunaweza kuwezeshwa kwa njia kuu mbili. Nazo ni Nguvu ya Mungu au ya shetani. Japo kuna uponyaji mwingine unaweza kutumia njia ya kujifunza na kujaribu madawa ya asili na ukamponya mtu. Ila kwa miujiza hii ya papo kwa papo mara nyingi ni Mungu au shetani.
Sasa kama mchungaji...
Nahisi kwa sababu
1. Ni msomi sana huyu jamaa.
2. Hana skendo za usañii kabla na hata baada ya kupata ubunge.
3. Status yake ya matendo na maneno ipo clean
4. Hatafut attention za watu
Nafikiri yapo mamb mengine mengi tuu
Kila tatizo mim naamini lina chanzo chake.
Kama mwanaume anatelekeza mtoto mmoja kisha anaenda kutunza mtot mwingine. Hapo tatizo linaonekana ni mama mtoto.
Kama mwanaume kuna muda anatunza mtoto na muda mwingine anagoma basi inshu si yeye wala mtoto. Bali ni mama wa mtot. Wakati wakina mama...
TANZANIANS IF YOU CAN'T SEE AND UNDERSTAND THE ATTENTION DIVERSION PLOTTED THEN YOU'D BE HARSHLY CONTROLLED FOREVER. Kama kijana wa kisasa hutakiwi kuacha kuona hili. Asanteni.
Kwa sasa nimekubali hasara. Nataka nipruni matunda yote kisha nimwagilizie upya na kupuliza dawa bora zaidi. Naomb maelekezo zaidi ya hizo dawa na namna ya upuliziaji kwa muda (mara ngap kwa week).
Bwana shamb hawapatikani kirahis nilipo. Ni polin sana. Mabwana shamba weng wapo mjin.
Maduka ya pembejeo nilienda mwaka jana wakanipa sum ila tatito lipo palepale
Habari zenu wakuu. Naomba niende kwenye mada. Mim ni mkulima natokea Mpanda Katavi. Nimelima mwaka juzi zao la papai na kila mwaka wa mavuno hutokea hili tatizo la kuweka vidoti. Wakati papai linaanza kukua kisha hua kama kibarango ikifikia papai kua kubwa na huanza kuoza kabla halijakomaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.