Naitwa john Rusaku Nina miaka 27,
Napenda sana maisha ya ndoa,mwenyezi mungu alinijalia nikapata kazi serikalini,ila wanawake wote walionipenda walikuja wakiwa kimasilahi maana walipofika,walijua wanakuja kuja kuvuna mpunga hatimae wanakuta hali tete,
Sasa nimejaribu ishi na wanawake zaidi ya...