Recent content by mboamboa

  1. mboamboa

    Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

    Naunga mkono hoja hata mimi nashauri hivyo watanzania wamekuwa mazuzu,hakuna haja wa kuwatetea wanachi maana hawaonyeshi kujitambua kila mtu abebe msalaba wake,viongozi wa Chadema wamejithidi sana wengine wamepata vilema vya kudumu,wengine wameuwawa,wengine wamefilisiwa kwa ajili ya kutetea...
  2. mboamboa

    Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

    Watanzania ni mbbumbumbu kabisa hakuna sababu ya kuwasikiliza hawa wanasiasa sisi wananchi tunatakiwa tuamke tukatae wanayoyafanya maandamano tusitegemee kuasisiwa na wanasiasa tuyaanze sisi wenyewe kwa mshikamano bila fujo wanasiasa watatuelewa ma sio kukaa kimya tunalalamika lalamika
  3. mboamboa

    Dr. Mashinji (Katibu Mkuu wa CHADEMA) yupo kama hayupo

    Cahdema kwenye nafasi ya katibu mkuu ni kama ipo wazi,viatu vya Dr Slaa vimempwaya bado nafasi haiitendei haki,umoja wa vijana wa chama nayo haijapata mtu wa kuisimamia kama ilivyukuwa wakati wa Heche,kuondoka kwa Slaa kuliaribu kila kitu chama kikakosa mvuto na mwelekeo na hali hii huu uchaguzi...
  4. mboamboa

    Uteuzi wa Mwantumu Mahiza

    Nilishindwa kuelewa kwanini Rweyemamu na Mzee Ulimwengu walisinzia kiasi kile yule mama akaharibu ile shule kiasi kile,wajipange upya warudishe hadhi ya shule
  5. mboamboa

    Uteuzi wa Mwantumu Mahiza

    Safi sana yule mama aliyekuwepo aliiharibu sana ile shule shule ilikosa sifa wakati ilikuwa nzuri sana,waalimu wote wazuri walitimka wakenda shule mbali mbali uongozi ukawa umelala,wazazi wakaamisha watoto uongozi kimyaaaa leo shule ipo hoi ndio wanashtuka,sasa mjipange kutafuta wale waalimu...
  6. mboamboa

    Waziri Lugola afanya mazungumzo na maofisa wakuu wa Jeshi la Polisi

    Dog apatikane wapi wakati alishauzwa na alishapmdishwa ndege
  7. mboamboa

    Mwenge, Dar: Mtoto wa mtaani (Chokoraa) apigwa hadi kufa

    Taarifa yako haijaeleweka mdau ebu iweke vizuri
  8. mboamboa

    Jamani dalili ya mvua ni mawingu. Kampuni ya DSV yafunga ofisi zake za Tanzania

    Hii kampuni ilikuwa sio SDV? Au walibadilisha jina na kuitwa DSV?
  9. mboamboa

    Uchaguzi 2020 kwa Urais CCM hawatatumia nguvu kubwa

    Unaota hakuna hata moja hapo,sasa mmeanzisha ugomvi na madhehebu ya dini,tusubiri ni swala la muda tu
  10. mboamboa

    Jaji wa mahakama kuu anavyoshiriki mchezo mchafu, na uhuni wa mwendelezo wa kutaka kuivuruga CUF

    Hii serikali ya awamu ya 5 itakuja kudaiwa fidia nyingi sana kwenye haya makesi yanayowahusu ni swala la muda tusubiri
  11. mboamboa

    Mali za ofisa TRA zadaiwa kumilikiwa na familia

    W wajiandae kumlipa fidia tu hakuna namna,walimchafua sana masamaki leo yuko wapi,walipoona watashindwa na kudaiwa fidia kesi ikaisha kiaina aina
Back
Top Bottom