Huyu alieleta hii post mbona analeta post za uongo? Huyu jamaa ana undrgraduate,degree na pass ya kawaida, sio 1st class matterial, amemaliza mlimani 2004 sio 2003, amefail CPA, hajawahi soma MBA,hata agesoma angepaswa kumaliza 2007, PHD ni uongo wa mchana kweupe, jamani hii inatuharibia...