Recent content by Mbiti Fisi

  1. M

    Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

    Ujuaji ukizidi mwishowe huwa ni kuf***a.
  2. M

    Faida na hasara za kutumia mafundi maiko kwenye ujenzi

    Kiongozi, au umesahau? Shimo la urefu wa mita 150??? Zaidi ya kiwanja cha mpira????
  3. M

    Harmonize kashuka kimuziki

    Huko nje ya East Africa kuna Diddy.
  4. M

    Kuna siku Yanga itatufunga goli 7

    Ndugu zangu, wana-msimbazi wenzangu kwanza tujipe pole kwa kupoteza derby ya nne mfululizo. Ila tukubaliane kwamba timu yetu ni takataka na ya hovyo sana mbele ya ma-giant Yanga Africa, sisi ni mbumbumbu tunaopelekeshwa. Yanga ndio timu bora ya muda wote, takwimu zinathibitisha hilo, sisi...
Back
Top Bottom