Recent content by mbishi wa kitaa92

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

    Hii imekaa sawa..nadhan tuliokuwa serious tuunde group la WhatsApp kuweza kujadiri kwa ukaribu na umakin..nadhan kuna wengine wana mawazo chanya ila hawana acces ya mdahalo kama huu..ni wazo tuu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta tenda ya ujenzi

    Check inbox mkuu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta tenda ya ujenzi

  4. M

    JamiiForums Tanzania Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

    Mimi binafsi naona PSRS kuna urasimu wa hali ya juu..huwez ukaset kwamba kazi ya uhasibu lazima mtuu awe na CPA wakati watu wapo wenye uwezo wa utendaji wa kazi Hali ya juu..CPA haifanyi kazi..kazi za uhasibu na procurement ziwe neutral..sio kila mtuu akimalza chuo ana uwezo au mdaa wa kufanya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta tenda ya ujenzi

    Za asubuh..natafta tenda ya ujenzi..nina krasha inayozalisha aina zote za kokoto na dust(vumbi) ikiwemo na huduma za usafirishaji kwa tipper zenye uwezo wa kubeba 20CBM,apart from that nina kila aina ya machine za kujenga na kutindua barabara na low bed za kusafirisha hivyo vifaa kama excavator...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

    Ripoti yenyewe bado imefichwa, Prof. ASAD pekee ndo aliyeonyesha ethics za auditing procedures based on independent basis, kazi ya ukaguzi haitakiwi kuingiliwa ata kidogoo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Iangalie picha hii halafu toa ujumbe ulioupata

    Sijajua picha inavyosema,mm nataka kabla ya mwez wa sita rasimali watu zipewe ufumbuzi,taasisi zisizo na maana kama TASAAC ziondolewe watu wanawekana hawajui kazi ,watu wa kujua kazi na kuweza kaz wako mitaani wanaambiwa wajiajiri..anaesema ivyo yuko anapata mshahara na posho za juu kupitia...
Back
Top Bottom