Hapana sio uzembe, niliweka charge kwenye saloon ya kiume ya mtoto wa mama yangu mkubwa kisha nikatoka kdg kama nusu saa ile narudi nakuta waya wa charge unanining'inia peke yake na yule ndugu yangu akanambia yeye alikua busy na kunyoa mtu sasa kuna kijana aliingia anahisi yeye ndo amechukua kwa...
Kuna hii tabia ya mtu kujifanya anakujua sana na kuanza kujifanya anakuuliza ooh siku hizi uko unafanya issue gani au unaishi wapi and stuffs like that.
Kama ulihitaji kujua kwamba nipo wapi au nafanya issue gani kwasasa ya kuingiza kipato ungekua unanipigia simu au tunawasiliana kabla hata ya...
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao.
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu.
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia...
Habari
Naomba kwa wenye uzoefu yeyote ambae kashawahi kujaza fomu ya mapunjo NSSF anisaidie kunijuza kama kuna mzunguko wowote wa nenda rudi au hiyo fomu ya mapunjo haina mambo mengi
Mana ile fomu ya madai kuna mambo ya kwenda mahakamani, kwa muajiri na bank kuchukua statement.
Sasa nataka...
Huyo jamaa ni tapeli wa kutupa
Huyo jamaa amemtapeli mama yangu mzazi Tshs 100,000 ambayo angeweza hata kununua chakula kikamsogeza kwa siku kadhaa.
Wanaopigwa pale wengi ni wanawake
Mwanzoni bimkubwa kabla hajaenda nilimpa tahadhari kwamba awe makini mana mjini siku hizi matapeli ni wengi...
What if huyo ex wako asingekua anafanya kazi kwenye hiyo ofisi je usingepata kabisa huduma hapo ofisini ? We utakua una mambo yako mengine mbali na kuhitaji huduma hapo ofisini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.