Unasema there is no way wakawatoa then unasema kuna 5%. Kaka ulikimbia somo la hesabu, mtu akiwa hata na 0.005%, that's a chance na huwezi kusema there is no way.
Ungesema tu 0% chance ungeeleweka
Hizi kauli ni zetu mashabiki mkuu sio za wachezaji na benchi la ufundi.
Ni sawa na ile Pacome day, watu walisema tumewekeza kwenye PDay badala ya kujiandaa, mwishowe mtu akala 4.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.