Recent content by Mbimbinho

  1. Mbimbinho

    Yanga wanatumia janja ya kususia derby ili msimu ujao washiriki Kombe la Shirikisho la CAF

    Yanga wana viongozi wenye akili, sio kama mangungo na wahuni wenzie
  2. Mbimbinho

    Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

    Mbona huwa mnafurahia lakini??
  3. Mbimbinho

    Kibu arudisha pesa za kwenye account ya Simba

    We bibi acha unafiki. Kwa Fei si ulisema aachwe aende anakotaka?? Naye Kibu aachwe, asipangiwe
  4. Mbimbinho

    Jezi rasmi za Simba msimu wa 2024/25

    Hii Sanda itaathiri sana mauzo ya hizi jezi msimu huu
  5. Mbimbinho

    Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

    Sifa kuu ya kwanza ya mchawi ni roho mbaya, so mleta maada still yuko sahihi
  6. Mbimbinho

    Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume

    Kwa hiyo ni wewe sio rafiki yako?? Muwage wawazi jamani
  7. Mbimbinho

    Na hii ndio tofauti ya klabu bingwa na kombe la shirikisho

    Naona mmeenda kucheza rede mwaka huu, na ole wenu msifike fainali ya kuonesha chupi aka rede
  8. Mbimbinho

    Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  9. Mbimbinho

    Ujenzi wa ghorofa 1 hatua kwa hatua na makisio ya vifaa

    Nondo huwa hazikadiliwi, zege huwa haikadiliwi, kila kitu ni hesabu. Tafuta Engineer akufanyie structural design uwe safe.
  10. Mbimbinho

    Waigizaji wa Tanzania wana la kujifunza kwenye tamthilia ya Mpali

    Kwamba hakuna aliyemuona Benson Logic?? Jamaa ananikeraga sana hadi napenda niwe naangalia scene zake tu. Yeye na dada yake Shupiwe, aah ile familia hatari
Back
Top Bottom