Recent content by Mbimbinho

  1. Mbimbinho

    Msimamo wa NBC: Timu lako lipo nafasi gani?

    Jamaa naona kaukimbia uzi wake tayari
  2. Mbimbinho

    Mechi ya marudiano Afrika Kusini, Mamelodi wataendelea kupigiana pasi na golikipa wao?

    Si uende kule jukwaa la mapishi, tuache huku jombaa
  3. Mbimbinho

    Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

    Unasema there is no way wakawatoa then unasema kuna 5%. Kaka ulikimbia somo la hesabu, mtu akiwa hata na 0.005%, that's a chance na huwezi kusema there is no way. Ungesema tu 0% chance ungeeleweka
  4. Mbimbinho

    Ombi la Haraka la Uchunguzi wa Ushindani wa Haki katika Ligi Kuu ya NBC

    Hiki ndicho mnachofanya?? Si mlimuona muhuni now mnataka aondoke Yanga, haendi kokote. Nenda polisi sasa
  5. Mbimbinho

    Tafakuri: Mwaka huu Yanga wanashindana na Yanga wenyewe

    Consistency ndio hupaswa kumfanya mtu awe na akiba ya maneno. Yanga wana consistency nzuri, so let them be
  6. Mbimbinho

    Ayub Lakred ni Golikipa Bora Afrika

    Sema kipa bora Simba
  7. Mbimbinho

    Hii kauli "Simba dhaifu" inatugharimu sana Yanga

    Hizi kauli ni zetu mashabiki mkuu sio za wachezaji na benchi la ufundi. Ni sawa na ile Pacome day, watu walisema tumewekeza kwenye PDay badala ya kujiandaa, mwishowe mtu akala 4.
  8. Mbimbinho

    Utabiri: Baada ya saa 21:00 zitasikika kelele za hutamtaki mangungu

    Honestly natamani sana hili litokee, ila sidhani kama itawezekana. Ila likitokea hakika itakuwa siku yangu bora kabisa kwa mwaka huu
Back
Top Bottom