Jk ampe tuone hayo aliyokua nayo maana mengi yamepita walioko mjengoni kazi kutetana na kulumbana badala ya kuijenga nnchi. Hawasemi watu wao wamewatuma nini. Jk chonde mpe Prof
Mwenyezimungu akupeni afya yenu enyi majeruhi.
Ajali haitazami eti barabara iko safi au mbaya wapo aliokutwa na insidence hizo kwa kufuatwa na gari vyumbani kwao kwa kuacha njia
POLENI SANA GET WELL SOON
kuna tuislamu tulisha wahi kuomba baraza lifumuliwe kwakuwa limechoka. Walikuwa wakidai kukatiwa maksi za wototo wao na kutotoa alama sawa katika masomo ya islamic na bible. ikiwa D katika bible inaanzia 21 basi islamic ilianzia 41 walikuwa wanafeli sana. Sasa mimi natuunga mkono kwa hili la...
Hivi tunako elekea wapi? Mchoro wa picha kweli waweza mfanya mtanzania leo adhalilishwe at ni muuaji wa kiongozi wa dini!! Kweli mbele ya Mungu tuwe na majibu. Udhoefu wangu unaonesha kuwa watu wengi wamebeba mizigo ya watu.
Acheni uhuni hivi lipi Shekh kaeleza halina ushahidi? mnatakiwa kujuwa historia ya nchi hii then ucheki namna wakristo wanavyo watesa waislamu wapigania uhuru. kila kona wametubana na dhulma katika pande zote. Huu kweli mfumo kristo
Inshu ni kuwa waislamu wanaelimika waechoka kukanyangwa time...
Si Mulugo tu
issue uchaguzi waja kunajamaa baba wa Mafisadi Lowasa ataliangamiza taifa bora hata huyo Mulugo. Si mtetei lakini Lowasa ni Hatari kuliko Umeme
This plat form is for Great thinker inaonekana fikra za kujitafutia ukweli zimepumzika na sasa mmnawategemea watu fulani wawafikirie.
Just imagine jamaa hajui hizi DVD na CD kama ni ukweli au uongo. Mzungumzaji yupo hai wasikilizaji ndo hivyo umejionea ni maelfu ya watu na zimeenea nchi nzima...
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo na mdadizi matokeo ya sensa mwaka 2012 yanatia shaka hebu fikiria mwaka 2002 tulikuwa 40milioni leo mwaka 2012 44 na point kwa maana hiyo kwa miaka 10 hatukuongezeka kufikia japo laki 5 yaingia akilini? Sasa njoo tathmini mwenyewe wanaozaliwa kila kukicha it is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.