Recent content by mbezisa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Zitto kwa JK yaleta utata mwingine

    Kwani ni vigumu sana Rais kujiuzulu?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    Msaada kwenye biashara? Ile shule ni yake binafsi ili mtoto wako asome shuleni kwake inatakiwa 1.5m kwa mwaka, sasa anaposema msaada kwa upande wangu sielewi!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba aanzisha kampeni na siasa chafu

    Mkuu WA TANGA naona umepotoka husipende kusikia tu unachokipenda na kukiamini, Mzee Warioba anachofanya anatimiza wajibu wake kikatiba anatoa maoni yake na kushawishi wengine kwa hoja ili wamuunge mkono na wewe kama una hoja tiririka sio unalia lia tu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Licha ya Afya yake kuendelea kudhoofika, Lowassa afanya ziara Mkoani Mara kupambana na Wassira

    Ahsante kwa taarifa, ila mijadala ya watu binafsi haina tija hoja ni jinsi gani tunapata mkataba bora kati ya watawala na wataliwa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maandamano na mgomo wa CHADEMA watikisa ofisi za Mkuu wa mkoa Ilala

    Kupitia mchakato wa katiba mpya katika bunge maalum la katiba Mungu ameongea nasi watanzania kwa kutuonyesha kuwa sita ni dikteta mkubwa ambaye hajawi kutokea Tanzania, kuwa tu mwenyekiti BMK anaonyesha umafia namna hii itakuwaje akiwa Raisi wa nchi! Lakini pia kupitia makongamano na comment...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Albine Marcus:Aibana CCM,aipa shavu UKAWA

    Ukawa ndio dira ya nchi kwa sasa, nahodha wa chombo kaishapoteza mwelekeo.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Makada wa CCM watajwa kuisaidia ACT-Tanzania

    Inatosha, alikula bata kidogo. Ila dogo naye!
  8. M

    JamiiForums Tanzania Sometimes namuonea huruma sana Zitto Kabwe

    Siasa za kisasa na umaskini ni maji na mafuta. Zito aliponzwa na mshiko!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Prof Patrice Lumumba kusuruhisha UKAWA na CCM ni baada ya UKAWA kuwagomea Mwinyi na Mkapa!

    Suluhu pekee ni kujadili rasimu ya katiba kama ilivyoletwa na tume ya mabadiliko ya katiba si vinginevyo.
  10. M

    JamiiForums Tanzania CCM Yapo Wapi Maisha bora.?

    Mkuu Msalani, maisha bora au maendeleo hayatafutwi kwenye <EM>link</EM> bali ni hali halisi inayopaswa kuonekana kwa wananchi. Wananchi wenyewe inabidi wathibitishe kwamba sasa hivi maisha yao ni mazuri ukilinganisha na takribani miaka tisa iliyopita wakati mhe. sana anashika...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

    Ni Tanzania tu mtu aliyekosa uvumilivu wa kisiasa na anayejivunia elimu ya makaratasi tu bila kudhibitisha kwa vitendo ndo anaweza kupewa uwaziri kama ilivyo kwa Lameck. Siku zote naona level ya elimu yake ni tofauti kabisa na kauli na matendo yake!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tiketi za ndege ziliwekewa 'cha juu' mara 16 serikalini!

    Hili zimwi liitwalo ccm na ukoo wake ni noma!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Maonyesho ya uwezo JWTZ jana kwa mara ya kwanza,tishio kwa Ukawa au Kagame?

    Rais wetu changamoto nyingi za kiuongozi nje na ndani zinamzonga alichofanya jana ni kama kurusha jiwe gizani wakati wa ugomvi litakayempata ndo huyo huyo! lakini pia viongozi wetu wanajua watanzania walivyo waoga na wengi bado huwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo kwahiyo maonyesho hayo...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

    Ni vema na Rais wetu akawa hivyo lakini too late ngoja tuone hiyo awamu ya tano!
  15. M

    JamiiForums Tanzania Busara ni kuona Spika na Naibu wa bunge la Katiba hawatokei kwenye Vyama vya siasa!

    Mawazo yako ni mazuri mkuu, lakini ukiangalia matokeo ya kura za kumpata mwenyekiti wa muda unaona kabisa siasa ndo mpango mzima.
Back
Top Bottom