Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,128
- 138,165
Mwanaharakati Marcus anaibana kisawasawa CCM kuacha ubabe.Yuko katika mjadala Star TV.Anasema Ukawa kurudi bungeni ni sawa na mtu aliyejeruhiwa na mamba,leo umwambie arudi majini kupigana na mamba huyo.hivyo UKAWA imekuja ardhini(kwa wananchi) ambako mamba(Intarahamwe) hana nguvu(tumeona kwenye mdaholo)