Recent content by mbeyaland

  1. M

    Hussein Pamba Kali anauza nguo tu?

    Una busara kiongozi. Bora kidogo cha kila siku kuliko kikubwa cha siku moja.
  2. M

    Serikali yauchomoa Muswada wa Mahakama ya Kadhi Bungeni

    Anzisheni tu msiilazimishe serikali kuchangia. Anzisheeeni
  3. M

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    Wanawake hawakushirikishwa kabisa kwenye muswada huo? Hiyo ni dalili tosha kuwa muswada huo Utakuwa ni unyanyasaji kwa mwanamke. Wanawake watapigwa mawe ......kwanini hawashiriki...
  4. M

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    Hivi hawa wanawake wa sasa wa kiislam waliosoma na kuwa na kazi nzuri, Waume zao wakifa mahakama za kadhi zitawapa mirathi kwa moja ya tatu Hata kama walichangia pakubwa pato la family? Wanawake toeni mawazo yenu kwa mahakama hii. Najua hamjashirikishwa Hata kidogo....as usual
  5. M

    Kuna tatizo gani uchaguzi usifanyike Jumapili?

    Na wakristo wakidai Haki ya kuchinja? Unajua machinjioni wakristo hawaruhusiwi kupata Ajira ya kuchinja?
  6. M

    Mwigulu Nchemba ndani ya Dakika 45 leo saa 3 usiku

    Ni Je suis Charlie, si Jesuschalie maana yake Mimi ni Charlie ni kifaransa hicho.
  7. M

    Kwa hakika Mwalimu J.K Nyerere Baba wa Taifa hakuacha kitu bila muongozo. Huu hapa ni kwa mahakama

    Acha ujinga. Kama alikosea waliomfuatia walifanya nini. Ni ujinga kumlaumu mwalimu kwa umaskini wetu wa Leo. Tutapita miaka 200 ya uhuru bado tunamlaumu mwalimu.
  8. M

    Kwa hakika Mwalimu J.K Nyerere Baba wa Taifa hakuacha kitu bila muongozo. Huu hapa ni kwa mahakama

    Acha ujinga. Kama alikosea waliomfuatia walifanya nini. Ni ujinga kumlaumu mwalimu kwa umaskini wetu wa Leo. Tutapita miaka 200 ya uhuru bado tunamlaumu mwalimu.
  9. M

    Rais gani ajaye anaeahidi kuacha kuikumbatia BAKWATA kwenye Utawala wake nimpe kura yangu?

    Unaongea kwa ujumla. Eleza vizuri ni jinsi gani bakwata inazuia Mae deleo ya waislamu. Ni kwenda hija tu??? Tukijua ni rahisi kuchukua hatua.
  10. M

    Rais gani ajaye anaeahidi kuacha kuikumbatia BAKWATA kwenye Utawala wake nimpe kura yangu?

    Mimi nadhani badala ya kufikiria kuiondoa ni Burma tukajaribu kuiboresha kwanza, tuitafutie viongozi wasomi wa elimu zote dunia na akhera. Tuanzishe mfuko na kamati wa kuchangia fedha ili tuanzisha shule za kawaida na za kidini, hospitals kubwa n.k tunapoteza muda mwingi kulalamika badala ya...
  11. M

    Rais gani ajaye anaeahidi kuacha kuikumbatia BAKWATA kwenye Utawala wake nimpe kura yangu?

    Aah mdini hujambo, umeingia tayari kinara wa udini. Kumbuka vita ya kidini ikitokea Tanzania, mke wako na watoto wako watakutana na mke wangu na watoto wangu. Vita havina macho. Waislam na wakristo watakutana makambini. By the way kwa nini rais ajaye afute bakwata?
  12. M

    Airport Dar kuvuja maji wakati wa Mvua, Mwakyembe anataka kutwambia nini?

    Kwa hiyo unamaanisha ni halali uwanja uvuje kwa sababu mabati ni bei kubwa?!!!!! Common!!!!! Sikuelewi. Bei imesimama!!!international airport inavuja !!!!! Si lazima kuchangia kila kitu.
  13. M

    Nchi yetu inamuhitaji rais wa namna hii

    Aaah mkorofi weye. Tanzania ni bara na Zanzibar. Marais ni bara na Zanzibar. Uadilifu ndio muhimu.
  14. M

    Utabiri: Rais ajaye atakuwa kijana, jina mchanganyiko kiislamu na kikristo au ameoa dini nyingine

    Siku ile anaijua Mungu pekee. Akaw'alilo kala akamenye j'u Kyala.
  15. M

    Hoja za wana-CHADEMA ni kuiponda CCM tu, hawana hoja za kimaendeleo

    Tehe Tehe bado kuna safari ndefu kuelekea uhuru kamili wa kimaendeleo. Maendeleo yataletwa na viongozi kwa kuweka mazingira mazuri na yataletwa na wananchi kwa kufanya kazi. Upande mmoja ukilala hakuna maendeleo.
Back
Top Bottom