Recent content by Mbeshe

  1. M

    Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

    Huwezi na hutakaa umpangie Shujaa Lissu cha kuzungumza au kutokuzungumza.Masilingi,Weka yale mahojiano tuone jinsi Masilingi alivyotamani ardhi ipasuke aingie humo halafu ijifunge.Weka hapa hiyo video
  2. M

    Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

    Kwani wewe ni lini ulisifia mazuri ya nchi yako na chama chako,(sorry kumbe hata chama huna) unataka aongelee hewani wakati wenye nchi yao walishawapiga marufuku au unajifanya umesahau maneno haya"uchaguzi umekwisha hakuna mikutano au siasa (kwa vyama vingine) hapa ni kazi tu.Kwao hakuna shida...
  3. M

    Makosa ya hayati Rais Magufuli ambayo Rais Samia lazima ayaepuke kama ukoma

    Naomba mnisaidie ni utaratibu gani unaotumika kumpa rais mamlaka ya kutembea na mamilioni ya fedha wanapokuwa kwenye ziara za kikazi mikoani. Nimesema hivyo kutokana na fedha zilizokuwa zinapeana kwenye msafara wa rais.Kwa mfano kule Njombe alitoa mil.5 yule babu wa jogooo nk.Sikatai wananchi...
  4. M

    Mmoja kati hawa akipata madaraka ya Makamu wa Rais nchi itagawanyika

    Asante Upo kwenye kamati ya uteuzi.
  5. M

    Ni aibu kwa Serikali ya Tanzania na ni fedheha mbele ya Wageni kushindwa kuwatambua wapinzani kwenye msiba wa Dkt. Magufuli

    Nadhani hoja iliyotolewa imekuwa kubwa sana kwako mpaka ikakushinda.Imekupiga mwereka pu.Hujitambui uliko
  6. M

    Je, Freeman Mbowe ataibukia Chato kushiriki mazishi?

    Hizi sifa hizi zinaonyesha kumwomba Mh.Ahudhurie.Si tumeambiwa yuko nje ya nchi au huamini.Nenda,tangulia wewe Chato.anakuja.
  7. M

    Haya maneno ni kweli kwamba ndio maneno ya mwisho kusemwa na Magufuli?

    Hawa jamaa wa nchi jirani na tv zao kina ktn news,ktn,kina tv citizen,na magazeti yao walidanganya.Aisee kweli hawa ni zaidi ya mabeberu.Tuwapige ban kwenye ving,amuzi vyetu vyooooote.Nasubiri kutoka kwa wale wataalamu wa mawasiliano wa lockdown.Msiwaonee huruma walisema uongo.
  8. M

    Haya maneno ni kweli kwamba ndio maneno ya mwisho kusemwa na Magufuli?

    Sina uhakika,wala siwezi kukataa kwa asilimia mia.Tungoje watumishi wa Mungu leo watakapoongoza misa ya mazishi watatuambia.Wao ndio wapakwa mafuta na vinywa vyao vimejaa ukweli bila uzushi bali na hekima wanayo kubwa. Lakini tuliambiwa mh.alikuwa mzima sana na alikuwa anachapa kazi.Na Mh.mmoja...
  9. M

    Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

    Nami nitauliziwa nilipo hivihivi kama hawa Watanzania wenzetu.
  10. M

    Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

    Ni wazima kabisa wanachapa kazi zao kama kawaida.Tumezungumza nao kwenye simu,leo hii.Mbona humuulizii Matonya
  11. M

    Unadhani nani anafaa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali Mpya ya Rais Samia Suluhu?

    Alidanganya.Au ushasahau.Mtu mwongo hawezi kuongoza watu ambao wanamjua kuwa alitudanganya.
  12. M

    Unadhani nani anafaa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali Mpya ya Rais Samia Suluhu?

    Sijakuelewa unaposemaki nchi inaongozwa na kanda moja tu.
  13. M

    Mbowe, mkanye Lissu

    K Kule wapi,mbona umeyaleta huku na ulishayajadili kule.
  14. M

    Mbowe, mkanye Lissu

    Alisemaje kwani, julaibibi tangu lini umejiunga Chadema,sio kweli unadanganya mbona juzi ulivaa zile za kijani au uko pote pote.Hivi walikupokea kweli.
  15. M

    Mbowe, mkanye Lissu

    Hapo kajichanganya.Njia ya mwongo fupi kama mkia wa mbuzi.
Back
Top Bottom