Kila siku kumekiwa na madukuduku ya kero za huu Muungano ambapo tunaona achilia mbali fedha za mikopo ya nchi zinavyomiminwa na kumung'unywa kule, sasa wanahakikisha wanaidogosha na kuifedhehesha Tanganyika kadiri wawezavyo.
Sasa hawa watu, kwanza tutangaze kuvunja Muungano huu mapema halafu...
Wewe unajuaga tuu kubumba masentensi mengi uonekane una akili humu kumbe ni kinyume chake. Wewe ulidunisha harakati za kutaka mabadiliko ya kimfumo wa uchaguzi na katiba mpya na ukayasafisha mauaji ya kikatili ya samia na jeshi lake kwa visentensi vyako humu. Nadhani katika watu siwapendi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.