Recent content by Mbepo yamba

  1. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Mwanzo haikuwaga taabu kupeana mikono
  2. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Angewapa wengine amruke namba mbili nchi ingepasuka. Akazuga kwa wote
  3. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Hiki kijamaa kikyuma sana. Ntakichukia mno na kishukuru tunatumia fake id. Ningekitafuta siku
  4. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tuvunje Muungano halafu tufanye hivi

    Nyie wenye mtindio kwa kukosa sehemu ya ubongo wa nyuma hamstahili kuachwa hivi hivi
  5. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tuvunje Muungano halafu tufanye hivi

    Mkunda hatakuwa kwenye hicho kiti kwa zaidi ya miaka minne tokea sasa
  6. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Alishikana na Putin na Kuna wakati nusura amshike Putin kiuno
  7. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tuvunje Muungano halafu tufanye hivi

    Kila siku kumekiwa na madukuduku ya kero za huu Muungano ambapo tunaona achilia mbali fedha za mikopo ya nchi zinavyomiminwa na kumung'unywa kule, sasa wanahakikisha wanaidogosha na kuifedhehesha Tanganyika kadiri wawezavyo. Sasa hawa watu, kwanza tutangaze kuvunja Muungano huu mapema halafu...
  8. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    KM ni Kikweye Mrisho with typing error
  9. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Samuya anapaswa kutengwa na watu wote Dikteta asiachwe hata apumue
  10. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Kama ni dini mbona alimpa mkonio Putin?ZILONGFA NA ZITENDA
  11. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wewe unajuaga tuu kubumba masentensi mengi uonekane una akili humu kumbe ni kinyume chake. Wewe ulidunisha harakati za kutaka mabadiliko ya kimfumo wa uchaguzi na katiba mpya na ukayasafisha mauaji ya kikatili ya samia na jeshi lake kwa visentensi vyako humu. Nadhani katika watu siwapendi tena...
  12. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Hata yule Mfungwa wa Kike kumbe naye ni ASKARI !! Haya Majama yanayomzunguka Samia ni Majinga ,yanafanana Kila kitu

    Mkuu samahani, nje ya mada kidogo. Username yako inahamasisha ulombwe. Utalombwa kweli
Back
Top Bottom