Recent content by Mbepo yamba

  1. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Unawezaje kujua kama hayo magari ni ya majambazi au watekaji na ni wakati gani yanageuka kuwa ya Polisi?

    Kwanza sijaona Heche akisema hao ni majambazi, ila watekaji. Pili huwezi kuwatenganisha polisi na watekaji maana ndo wenyewe
  2. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

    Uko wapi mkuu? Salama Iko nawe kweli?
  3. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Nakuheshimu sana mkuu Britanicca. Mungu azidi kuutunza.
  4. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Unareply kwa huruma sana. Gharama ya upumbavu ni kubwa mno, mtavunja shingo zenu
  5. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Kawaida amjibu Dkt. Nchimbi ''Uimara wa chama hauko katika uwezo wa kiongozi mmoja kujijengea taswira mbele ya umma''

    Kawaida akili yake Huwa ya kawaida sana. Haijawahi kutiliwa maanani na yeyote mwenge akili bora
  6. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Hiki chama jamani, kinashika nyoyo za watu wema haswaa
  7. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Hakuna Mtanganyika alokatazwa kufanya kazi. Wameanza kutoa mlio

    *****. Kwanza watanganyika warudi tuu bara tushirikiane 77 kudai nchi yetu
  8. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Nilishasema wewe akili huna isipokuwa uwezo wa kurundika maneno yawe insha. Kama maeneo yalinunuliwa na ujerumani kuwa mali halali ya Tanganyika sasa hapo mkanganyiko Yuko wapi?
  9. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Saada: Wazanzibari wanaoishi Tanganyika nao wanyimwe matibabu?

    Nje ya madam kidogo. Wewe ndo malaria sugu?
  10. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Mwanzo haikuwaga taabu kupeana mikono
  11. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Angewapa wengine amruke namba mbili nchi ingepasuka. Akazuga kwa wote
  12. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Hiki kijamaa kikyuma sana. Ntakichukia mno na kishukuru tunatumia fake id. Ningekitafuta siku
  13. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tuvunje Muungano halafu tufanye hivi

    Nyie wenye mtindio kwa kukosa sehemu ya ubongo wa nyuma hamstahili kuachwa hivi hivi
  14. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tuvunje Muungano halafu tufanye hivi

    Mkunda hatakuwa kwenye hicho kiti kwa zaidi ya miaka minne tokea sasa
  15. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Alishikana na Putin na Kuna wakati nusura amshike Putin kiuno
Back
Top Bottom