Recent content by Mbepo yamba

  1. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Pole Mama. Tulikuambia ukimnyanyasa Lissu nuksi hazitaisha

    Aende zake huko alale milele. Yeye na mademu zake wawili hawa walale tuu
  2. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Goooooooood! Next................
  3. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania In Tz activism activismus pro justitia was hitherto executed with profound peritia and modus operandi of erudite professionalism until circa 2022

    Naanza kukuchukulia serious na kule. Nilidhani Kuna mtu anakuempasornate
  4. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania In Tz activism activismus pro justitia was hitherto executed with profound peritia and modus operandi of erudite professionalism until circa 2022

    Mkuu hivi ni wewe mwenye account kule x inayotumika hili jina lako? Au yule ni parody?
  5. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Ccm wameongeza Kuni kwenye moto unaowaka.

    Aibu utaona wewe, siyo sisiemu ya saa100. Hainaga hata donye la aibu
  6. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kujiuziru siasa ndo tunajua sio raia wa Tanzania, ngoni migration ndo iliwaleta baba na mama yake Tanzania, arudi kwao Sasa.😃😀🫷

    Hata huyo msoma failing mwenye elimu mbalimbali ni muOman ambaye mjomba wake ni mtawala wa Oman.
  7. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Rais Samia ameipokea barua iliyotokea kwa Nchimbi kwenda kwa Nchimbi kama nani wa Nchimbi?

    Wewe hiyo barua uneisoma wapi mkuu? Share nasi basi maana wengine sisi tumeiona taarifa kwa umma na siyo barua. Share tuione wote
  8. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Basi ukiwa kweli atajitoa basi kama nchi tumekwisha kabisa. Shetani atatawala kwa raha zake
  9. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Lissu ameingiaje hapa?
  10. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Lissu haponi kesi hii

    Tanzania tumepewa mtu mmoja wa kutuvusha hapa. Ni huyu Lissu. Tukimpoteza basi Kuna miaka mingine zaidi ya 50 mbele huko. Hatutoishi kuiona Tanzania/Tanganyika yetu. Maana hawa manyang'au watakuwa wameimaliza Kila kitu
  11. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini mtuhumiwa anaonyesha kukata tamaa kuanzia mwanzoni tu mwa kujitetea kwake?

    Hivi kwa nini wewe mtu inakuwa na matusi kwa wenye maoni tofauti na wewe? Maana Kila anayechangia mawazo tofauti na Yako unamjibu na kumuwekea emoji ya kima mwishoni. Ni jeuri ya kuwa karibu na wenye mamlaka au? Ukweli pia ni kwamba hujawahi kuonesha hata dalili kuwa una akili Wala upeo...
  12. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Hii Quotation ya leo inapasua anga, ardhi na maji

    Ni wazi sana kuwa kwa uovu mlioufanya mnaogopa hata vivuli vyenu mashetani nyie
  13. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Lissu haponi kesi hii

    Learn to read btn the lines
Back
Top Bottom