Tanzania tumepewa mtu mmoja wa kutuvusha hapa. Ni huyu Lissu. Tukimpoteza basi Kuna miaka mingine zaidi ya 50 mbele huko. Hatutoishi kuiona Tanzania/Tanganyika yetu. Maana hawa manyang'au watakuwa wameimaliza Kila kitu
Hivi kwa nini wewe mtu inakuwa na matusi kwa wenye maoni tofauti na wewe? Maana Kila anayechangia mawazo tofauti na Yako unamjibu na kumuwekea emoji ya kima mwishoni. Ni jeuri ya kuwa karibu na wenye mamlaka au?
Ukweli pia ni kwamba hujawahi kuonesha hata dalili kuwa una akili Wala upeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.