Recent content by Mbepo yamba

  1. Mbepo yamba

    Rais Samia anafanya kazi usiku na mchana mpaka Huruma zinanishika. Tutamkumbuka Sana akimaliza muda wake 2030

    Mimi ni kichaa kweli tena mwenye faili. Wewe chawa nakuuliza je, humtaki tena mama yako huyu?
  2. Mbepo yamba

    Rais Samia anafanya kazi usiku na mchana mpaka Huruma zinanishika. Tutamkumbuka Sana akimaliza muda wake 2030

    We matacore si mlisema huyu ndo yuko kwenye awamu yake ya kwanza? Mmemchoka na nyie?
  3. Mbepo yamba

    Dodoma: Rais Samia azindua Makao Makuu ya ULINZI wa Taifa

    Kisamuya kinakaribia kufa
  4. Mbepo yamba

    Huenda Dkt. Mwigulu Nchemba akawa waziri mkuu kwa awamu tatu mfululizo kabla hajawa Rais wa JMT 2040-2050

    Unajipigia debe mwigulu. Ccm hatoboi na wewe jiandae kwa maisha mengine ya mavazi
  5. Mbepo yamba

    Mfumuko wa bei kuanza wiki ya Jumatatu inayokuja

    Serikali ni kama imetoa greenlight kwa wafanyabiashara kupandisha bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia wiki ijayo. Hata maduka kwa sasa order yoyote hawatoi, wanakuam subiri bei mpya kuanzia Jumatatu. Watanzania tunalo chizi letu na tumeamua kuishi nalo, nahisi
  6. Mbepo yamba

    Butiku: Mwenzetu anaburuzwa kwenye basi, tunabung’aa tu, hatusemi anapelekwa wapi?

    Lipumbavu hili kama Lipumba. Lilimuuza Humprey, likafurahia mauaji ya raia pumbavu zake hili na leo linajikosha? Hatutalisamehe, hatutalisahau
  7. Mbepo yamba

    PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

    CCM YA WATANZANIA WOTE. Acha ujinga dogo. Nitoe kwenye hao watanzania wa ccm.
Back
Top Bottom