Recent content by mbengenyi

  1. M

    Wanaume wenzangu! Hivi hii ni kawaida?

    Mm pia ilinitokea ingawa jamaa alikuwa hazimi ila anasinzia mbaya mpaka nikaamua kuahirisha tendo lenyewe, ni hali ya kawaida kabisa wakati mwingine mwili unachanganya mambo na smtimes inakuwa ngumu kuulazimisha unavotaka, so usiwe na wasiwasi it happens .
  2. M

    Tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume

    Kisonono hicho nenda hospital, mm pia nna tatizo kama lako, kama huwashwi wala kusikia maumivu yako ni asymptomatic(isiyo na dalili)
  3. M

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    Nimeshirikisha madr sita na kila mtu amekuwa na tiba yake kulingana na historia yangu.
  4. M

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    Sindano anayochomwa mbwa?, maana nao wana kisonono kibaya, si itaniuwa hiyo
  5. M

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    Aliyeniambukiza tuliachana na sina mawasiliano naye baada tu ya.kumueleza tatizo alilo nalo na alikana hana shida hiyo sasa sijui kama alienda kujitibu au kakaa nalo
  6. M

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    Kapo mkuu tena kameshika kasi kweli kwel
  7. M

    Ushauri kwa mtaalam yeyote wa afya

    Kama umetumia dawa haikufanya kazi je kuongeza dose kubwa zaidi ya awali inaweza kusaifia au ndo bacteria ashakuwa totally resistant? na dawa husika
  8. M

    Msaada Sm kuzima na kuwaka

    Yangu pia ina tabia hizo ila mi nafanya tu backup and reset inakaa sawa, pia akikisha huajazaapps nyingi kwenye phone memory. Unaweza pia enda kwenye app hiyo via setting ukadelete cache na apdates na restart simu ikigoma fanya reset hata zaidi ya mara1
  9. M

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana mwezi wa 11, nikaenda hospitali nikachomwa ceftri 5 hazikusaidia hata kidogo, nikaenda kwa dr mwingine akanipa tetrac na metro tatizo likakata kwa wiki likakarudi, nikaenda tena.hospital nikapewa metro(7/7, 10start), Cipro start, dox7/7 tatizo...
Back
Top Bottom