Rushwa ya mshahara na pesa za usajiri wachezaji wanayodaiwa na baadhi ya viongozi wa vilabu ni tatizo Moja wapo
Mfano wa
Ngoma
Kibu
Fraga
Tadeo lwanga
Hawakutoa chochote
Waliundiwa mizengwe mingi kiasi chale japo majeruhi ilipnekana ni njia mojawpo ya kuwaswaga. Watu wabadilike
Kumbuka kwenye Moja ya vitu tunavyo jihusia sisi Watanzania Kwa ujumla wetu na kumbumbusha mtu anae elekea njia isiyo sahihi: nikwamba
Vita sio kitu kizuri
Mshindi na mshidwa lazima watapoteza vijana wao
Mifano mingi tumeiishi
"Mlengwa mkuu WA vita ni mtu"
Taifa limeamua kusherehekea ushindi...
Azam fc makocha na wachezaji hakuna tatizo kabisa
Tatizo ni utawala wa hii timu na nyakati zote wanaambiwa Hilo suala hawataki kulichukulia hatua
mwenye timu Kuna watu anawaamini na wamepewa nyadhifa kuiongoza timu wameshindwa na mifumo walio nayo na hili tatizo Azam wenyewe "hawajui kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.