Kama mke wake anafanya hoteli basi huyo aandike maumivu.
Nilikaa karibu wiki moja ktk hoteli mojaiko Shanty town Moshi. Nilichokiona kilinifanya niwadiss sana wafanyakazi wa hoteli, sio maboss wala wafanyakazi wa kawaida
Wanakulana sana tu. Nina experience ya hotel za arusha na moshi hasa Shanty town. Maboss wanajimegea kwa kwenda mbele.
Kama una mke au mchumba andika maumivu maana wengi wanategesha miguu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.