[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole na wewe kwa kutumika kuandika na kuposti pumba..
Nasi tunaamini kabisa weww pia sio mzima.. lazima utakua na kasoro upstairs..
Maana unavyouzungumzia uchaguzi wa 2020 as if tayari unayajua matokeo..
Only umesahau kwamba kwenye siasa za...
Yaani Dogo is very very hopeless...
Nadhani anatatizo kubwa la kisaikolojia..
Yuko very insecure, na hutumia mcharazo wake kuficha his insecurities hata ikimlazimu kutumika kama taulo kwa issues zisizomuhusu..
Daaahh!!! Huku duniani kunae mamluki aisee.. yaani leo umegeuka mouthpiece ya Mh. Mnyika??
Who are u btw kutueleza personal issues na deals za Mnyika??
Are u his wife??, his kid maybe?? next of kin?? Or his Lawyer??
Acha kugaragaza P yako kwa kutafuta cheap recognition mjomba..
If ni issue ya...
Mbabaishaji "saa ngapi" katika ubora wake wa kubabaisha na hoja zake hewa zinazoelea patupu...
Nimetafuta point katika huu mcharazo wake yet nimeishia kuambulia mataputapu..
To be honest, the dude has lost the old groove he used to captivate us with...
Many a times now he z just bluffing...
Mmhh!! We Jamaa aidha mwepesi kusahau au utakua mvivu saana kufikiri...
Hivi mlipo mkaribisha chamani kwenu na kumpatia tiketi ya kugombea Uraisi yule mwenye Mvi nyingi baada ya kutemwa na chama tawala kwani yeye alikua ni Malaika???
Hebu ngoja nikucheke maana wewe ni wazi kuwa ni...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu DJ ndio kawaida yake..
Usije shangaa baadae akayatafuna maneno yake kama alivyoyatafuna kwa Mvi nyingi..
He uses anybody for his own political gains and discard them afterwards..
Huyo ndio DJ bwana!!
Sawa tunakubali sisi washamba, tunashangilia ununuzi wa ndege kama mzazi ashangiliavyo mwanae kufaulu lasaba..
Well kwa kifupi thru mwandiko wako it obvious wewe mwandishi hujawahi kufaulu kwenye lolote lile, sio lasaba form4, form6 wala chuo kikuu..
Hivyo huwezi kunua wala kuielezea kwa kifani...
Haki ya nani tena hii taarifa yenu kwa vyombo vya habari imekaa kama hekaya ya kusadikika.... soo vague and baseless..
Ipo ipo tu na matamko yenu kibaoo yasio na kichwa wala mguu..
Haina solution ya aina yeyote ile bali imejaa blame games za kutafutia huruma toka kwa unsuspecting citizens...
Ukichokonoa Ma-V ujiandae kunuka..
Usitafute huruma ya wananchi wakati mwenyewe ulianza kwa kebehi..
Hii inaitwa gonga nikugonge..
Mpaka kieleweke...
Kama ambavyo unatetea upande wako kwa kumkebehi mkuu vivyo hivyo tutamtetea wa kwetu kwa kukukebehi na wewe kwa kua umelianzisha mwenyewe..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.