Leo Mtandao wa AbroadTanzania usiokuwa na usajili hapa nchini umeibuka Kwa Mara nyingine na kuendelea na tenda Yao ya kupakaza uongo dhidi ya viongozi wa Serikali.
Mtandao huu umekuwa ukijinasibu kufichua uovu jambo ambalo ni uongo mkubwa, hivi karibuni Mtandao huu ulitumika kuleta sintofahamu...
Ni Mbunge Imara na Mwenye Maono Mapana ya Jimbo lake
Anaandika Madam Rose Matemu
Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe, katika kipindi chake cha Uongozi, ameweza kuonyesha njia kwa kuwa msimamizi mzuri, msemaji, mfuatiliaji na mhamasishaji wa shughuli za Maendeleo katika jimbo letu la Hai. Mbali na...
Mradi wa bodaboda 2017 - 2020 pesa za wadau wa maendeleo gambo na genge lake walikusanya bila kamati pikipiki 200 kila moja 2,100,000. Bila kamati na kwenye kampeni alisema pesa ziko bank kwenye account ya NMB na paka Sasa azipo na hakuna kilicho fanyika mtu uyu aivumiliki na akisema ya watu...
Mbowe amestaafishwa siasa Rasmi atulie alee wajukuu, Chadema imefutika katika Jimbo la Hai, Kila mahali wimbo ni Saashisha Mafuwe tu
Endeleeni kujidanganya tu na Babu yenu
Mbowe ona aibu sasa, Wewe ulikuwa busy na Chadema yako na maandamano mwachie kijana Saashisha Mafuwe ACHAPE KAZI
Nasikia Saashisha kafanikisha Ujenzi wa Barabara ya Bomang'ombe cheki maji TPC kwa Kiwango cha Lami,
,Ujenzi wa Soko la Kisasa la kwa Sadala,
,Kutekeleza ahadi zote alizoahidi...
MEYA JUMA RAIBU MWIBA MKALI KISIASA MOSHI
Nilianza kumfuatilia huyu kijana, Mwanasiasa machachari na mpenda maendeleo Ndugu Juma Raibu ambaye ni Diwani wa Kata ya Bomambuzi iliyopo Manispaa ya Moshi na ni Mstahiki Meya wa Moshi Mjini.
Ngoja nimzungumzie kidogo, Huyu kijana ana nyota ya...
WALAFI WA FEDHA ZA TASAF WAONYWA, JELA MIAKA SABA INAWAHUSU
Na Mwandishi Wetu
Moshi, Kilimanjaro
Mstahiki Meya manispaa ya Moshi Mhe Juma Raibu leo amewatembelea wanufaika wa mpango wa tatu wa Tasaf kwa kaya masikini.
Akizungumza katika hafla hiyo Meya Raibu amewataka viongozi wa Tasaf Na...
Mgeni maalumu Mstahiki Meya wa Moshi Juma Raibu akiongea katika hafla ya Jeshi la polisi ya kuwapandisha vyeo askari wake katika ngazi za staff sajenti,sajenti na koplo amewataka wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja kwa sababu maandamano hayo sio halali na jeshi la polisi aliloliona...
WADAU WA MAENDELEO WAMPONGEZA MEYA RAIBU
Na Mwandishi wetu- Moshi, Kilimanjaro
Wadau mbalimbali wameibuka na kumpongeza mstahiki meya wa manispaa ya Moshi ndugu Juma Raibu Juma kwa utendaji kazi wenye dhamira ya kuivusha manispaa hiyo kimaendeleo.
Wadau hao wakiongozwa na Mbunge wa Viti...
MAAGIZO YA MEYA RAIBU YAANZA KUZAA MATUNDA, MILIONI MIA MOJA ZALIPWA
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Ni takribani miezi kadhaa tangu Mstahiki Meya wa Moshi Mhe Juma Raibu kugundua unyanyasaji unaofanywa na baadhi ya makampuni mjini hapa kwa kutopeleka makato ya katika mifuko ya NSSF na WCF...
MEYA RAIBU ATAKA KAZI IENDELEE NA IKAMILIKE
Utekelezaji wa sheria na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan umefanyika katika manispaa ya Moshi kwa kutoa mikopo yenye Tshs Milioni 302,904,000 kwa vikundi 133, vikujumuisha vikundi 91 vya Wanawake, 39 vya Vijana na vitatu 3 vya walemavu.
Akiongea...
KWENYE HILI LA SABAYA, CHADEMA INAIFUNZA JAMBO CCM
Anaandika Mbatizaji Mkuu
Unaemwona pichani ni Mdude Nyagali, maarufu kama Mdude Chadema, huyu ndugu alikamatwa na dawa za kulevya kidhibiti kipo na kufikishwa Mahakamani, akafunguliwa mashtaka na hivi karibuni ilikuwa siku ya hukumu yake...
HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.