Bro yanga anachotaka ni kanuni zitumike kwa usahihi sio kama ambavyo zilivyotumika mchezo ulipoghairishwa coz tff walitumia kifungu kinachowabeba bila kuwa na sabab za msingi..
NB tupo tayar kukatwa point 15 ilimrad kuonesha msimamo tuu hatukupendezwa na uhuni ulofanyika.. WATU WALIKUFA...
Narudia tena.. tulianza kuhesabu pamoja tangu na tangu na kwamba miaka yote tulikubaliana kwa kila mmoja makombe alokusanya,, swali je huo udanganyifu umeanza baada ya yanga kuhesabu la 30 au la? Mana toka nmeanza ufahamu kwa kufuatilia mpira wamiguu nliona waandishi na watangazaji wakihesabu...
Katika hali ya kawaida haya makombe namna ya kuhesabiwa hayakuzuka tuu tena hasa kwa upinzani uliopo baina ya yanga na simba, siamin kama historia ilipotea na kwamba ikaibuka ghafla tuu mwaka huu, mimi nakumbuka toka tukiwa wadogo tulikuwa tukisikia waandishi na watangazaji wa habari wakisema...
Kanuni inataka kuwe na sababu za msingi zitakazokubaliwa na TFF. Ni kweli Bodi ya ligi inamamlaka ya kuhairisha mchezo ikiwa kunasababu za msingi zilizopelekea mchezo usichezeke.. katika hali ya kawaida hilo ni fumbo ambalo bado bodi ya ligi ndio wanaojua.. binafsi naunga mkono wazo la yanga...
Kuhairisha mchezo ilipaswa kuwa tukio la mwisho Kabisa tena baada ya kujiridhisha kwa kushirikisha vyombo vya usalama tena kwa mchezo mkubwa kama ule ilipaswa kiongozi mkubwa wa usalama auelezee umma nini kilitokea na hatua gani walichukua tofauti na hvyo ni vile tuu bodi ya ligi walilazimika...
Hoja ya sababu za kiusalama haina mashiko kwakuwa ilitolewa siku moja kabla ya mchezo kitu ambacho inakinzana na kanuni ambayo ilipaswa waainishe siku ya mchezo kulikuwa na tishio gani la kiusalama ambalo vyombo vya usalama waliona hakuna namna nyingne tofauti na kughairisha mchezo.
NB: KAMA...
Kwanza unapoleta hoja lazima utueleze ubora wa mpinzani mfano Dodoma jiji au prisons, utuambie current form ya hizo timu.. je ukipima kiubora unaona ni mpinzani sahihi iwapo yanga au timu kubwa Inakuwa na shauku ya kupata matokeo mazuri?
Pia angalia namna yanga inacheza kwa sasa ukilinganisha na...
Yanga mchakato wao haujakamilika hvyo hakuna mwekezaji yeyote aliyejitokeza.
Ila kwasasa Yanga wapo kwenye mchakato wa kufanyia tathmin klabu yao na kujua thaman ili kuweza kukaribisha wawekezaj
Labda ungeeleza kwa mifano ni athari zipi zmejitokeza kwa kutumia majina ya wachezaji kuhamasisha mashabiki?
Au kupaka bleach kunaathiri nini mshabiki ambae analengo la kuiunga mkono timu yake?
Kama hauna sababu zenye mashiko tuendelee tuu kumpongeza mzee Rage kwa maono yake
Labda kwa kuongezea kutoka kwa wachangiaji walopita.. bonde la mto msimbazi na mradi unaodhaminiwa na benki ya dunia ambao upembuzi yakinifu umefanywa na kampuni kutoka uholanzi toka 2018.. lengo ni kufanya eneo la mto msimbazi kuwa eneo la kivutio..
Kwa mujibu wa upembuzi wao, baada ya mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.