Recent content by mbasha org

  1. M

    Kangi Lugola: Marufuku polisi kuwasweka watu rumande bila kujiridhisha na kosa

    Write your reply...ni kiasi Cha muda tu,tutajua kama kauli yake itatekelezeka au alikuwa anawaadaa watanzania
  2. M

    Makontena ya Makonda yapigwa Mnada. Yashindwa kupata mnunuzi, ni yale aliyoyakana kuwa hayajui

    Write your reply...sheria ya Kodi itende haki kwa wote, la msingi wasije wakahujumu mnada wakajiuzia wenyewe kwa bei ya nyanya
  3. M

    Ridhiwani Kikwete: Ni radhi kufa maskini kuliko kuuza Dawa za Kulevya

    La msingi kila mtu ahukumiwe kwa haki,hakuna wa kukubali kuwa ni mhusika kwa biashara hiyo
  4. M

    TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

    Kama ni woga umezidi ,watu waachwe watapike waliyo nayo moyoni,yakufanyiwa kazi yafanyiwe,always hayana tija yaachwe baadae watu watatulia
  5. M

    TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

    Kama ni woga umezidi ,watu waachwe watapike waliyo nayo moyoni,yakufanyiwa kazi yafanyiwe,always hayana tija yaachwe baadae watu watatulia
  6. M

    Dimani si Shwari mamluki wavamia Ofisi za CUF

    Ama kweli hii ndio Amani tunaambiwa italindwa kwa nguvu zote
Back
Top Bottom