Recent content by Mbasa matinde

  1. Mbasa matinde

    SoC01 Muelekeo wa Uchumi na Tozo (Uchumi Kipofu)

    Muelekeo wa uchumi na tozo (uchumi kipofu) Ebu tukae tulizungumze hili kwanza, Kinachoendelea Julai 1, 2021 serikali ilitangaza ongezeko la shilingi mia kwa kila lita moja ya mafuta. julai 15, 2021 serikali ilianza rasmi ukatwaji wa kodi kwa watumiaji wa huduma za kifedha kwa njia ya simu...
  2. Mbasa matinde

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Alichokifanya Pep sio kwamba alitaka kupoteza ila ni uwoga mbele ya TT, anamuelewa kwamba ni kocha wa technical sana sio rahisi kufungika Pep alijua tayal TT kashamsoma so alichokifanya ni kabilisha kikosi kujaribu kumhadaa TT hyo plan iliferi TT ni kocha wa mbinu sana kulingana na game...
  3. Mbasa matinde

    Uzi maalumu kwa wapenzi wa Animation

    Mmetaja nyingi sana 95% nishaziona ila huyu mwamba kanikosha apo kwene Ne Zha bonge moja wa animationa acheni shughuli zote mkatafute iko chombo[emoji91][emoji91][emoji91] sehem ya kwanza na ya pili
  4. Mbasa matinde

    Kenyans: Do you know 20b USD to build 6000MW Coal Power Plant?

    Kind make sense according na calculation zako![emoji848] Swali la haraka haraka apo why ilichaguliwa kujenga bwawa kule mto rufiji kwa 6+ Trillions TSH linalozalisha 2115 MW na sio plan ya makaa ya mawe ambayo gharama zake ni 4+ trillions TSH inayozalisha 6000 nawaza kwa saut tu apo[emoji16]
  5. Mbasa matinde

    Anatafutwa Business Partner kwa ajili ya kusimamia biashara ( Mtaji upo)

    Unatafuta wafanyakaz au nia yako ni kuweka usawa wa kijinsia
  6. Mbasa matinde

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Ukiwa huna pesa unajikuta una vitu vingi sana vya maana vinakuja kichwani right!? Ila ukishaipata sijui vinaendaga wap[emoji23][emoji23]! Just kidding Developing countries kwa maana nyiingine zinaitwa land of opportunity! Kuna opportunities kwenye kila sectar inayojaribu kuigusa! Shida kubwa ni...
Back
Top Bottom