Recent content by mbarukumkali

  1. mbarukumkali

    Wanaume Mungu anawaona!!

    Msijaribu kabisa kamchezo hako
  2. mbarukumkali

    Natafuta mchumba

    Wana jamii forums wasichana natafuta mchumba tukiridhiana nioe Sofa 1) Awe na akili timamu 2)Awe mweupe au maji ya kunde 3) kabila lolote na Taifa lolote 4)Asiwe mlevi awe mwislamu au kama ni dini nyingine awe tayali kubadili dini 5)umli 20-30 6)mcheshi na mpenda ndugu wa pande zote...
  3. mbarukumkali

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Ndio huo ni ujinga kitendo cha kuwakwepa wakuu wa mikoa na wilaya ni upuuzi mtupu huku ni kulindana tu kama kweli sifa ni kujua kusoma na kuandika mbona hatuwaoni mawaziri na wabunge wenye elimu ya Darasa la saba
  4. mbarukumkali

    Dr. Mwakyembe: Sikumhoji Lowassa kwa sababu ushahidi dhidi yake ulikuwa unajitosheleza!

    Kwani ww humpendi ?? Kuna sababu gani za mcngi mpaka umchukie binaadamu mwenzako hatuko kwa ajili ya kuchukiana ila tuna angalia haki tu itendeke ktk mustakabali mzima wa uongozi Bashite amefoji vyeti tukiongea nyie mafisiem mnajua tunamchukia
  5. mbarukumkali

    Dr. Mwakyembe: Sikumhoji Lowassa kwa sababu ushahidi dhidi yake ulikuwa unajitosheleza!

    Ndio maana nakwambia unachemka na unaendelea kuchemka kumbuka Lukuvi as likuwa MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam baadae as kateuliwa kuwa waziri wa ardh nyumba na maendeleo ya makazi hapo hajawa kiongozi wa kitaifa tumia akili kufikiki
  6. mbarukumkali

    Dr. Mwakyembe: Sikumhoji Lowassa kwa sababu ushahidi dhidi yake ulikuwa unajitosheleza!

    Umechemka Dada unaposema swala LA makonda haliwahusu watu wa mikoani Bashite ameteuliwa na Rais ni kiongozi wa Taifa ingawa ni mkuu wa mkoa wa Dar esSalaam kwasababu anaweza kuamishwa na kuja kuwa mkuu wa mkoa katika mkoa wako
  7. mbarukumkali

    Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

    Huo ni ujinga kutuonesha humu kwani humu kuna madokta Si uende hospitali
  8. mbarukumkali

    Kamanda Sirro: Kama kuna kiongozi alitaja siku watakayopatikana akina Roma, mulizeni yeye

    Upelelezi huwa unachukua muda gani mbona Ben saanene hadi Leo upelelezi bado tu
  9. mbarukumkali

    Nilizaa na mwanamke mtoto wangu kapewa mume mwingine, nifanyeje?

    Binafsi mm nakushauli Fanya kila linalowezekana umchukue mwanao iwe kinguvu au kimakubaliano ila use tayari kuishi na wanawake wawili kama ikitokea huyo mzazi mwenzio akiachwa maana ni ngumu sana kuendelea kuwa nae kwakua ataonekana si muaminifu katika ndoa
  10. mbarukumkali

    Nakiri kosa la kumchagua Magufuli 2015

    Eti hakuna wajibu wa serikali kutoa ajira kwa sasa kama hakuna wajibu mbona kwenye kampeni zao huwa wanasema watatoa ajira sahiv kuna watu wana degree zao zipo kichwani lkn serikali haina uwezo wa kuwaajiri sasa hiv mna kampeni ya Tanzania ya viwanda hivyo viwanda c ajira acha uboya ww kama...
  11. mbarukumkali

    Nakiri kosa la kumchagua Magufuli 2015

    Hakuna mtu anaetegeme pesa kutoka serikalini ila ni wajibu wa serikali kutoa ajira kwa wananchi na kudumisha zile zilizopo sasahiv wafanyabiashara wanalalamika pesa hakuna sector binafsi zote zipo hoi kwa mfano hoteli nyingi zimedungwa sasahiv kwa sababu hakuna mzunguko wa pesa hakuna semini...
  12. mbarukumkali

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Mimi nauza kiwanja (1)Eneo morogoro kihonda (1)ukubwa heka moja (1)bei 10m milioni (1)kimepimwa Mawasiliano piva CMU 0679685354 au 0713075111na 0625549775
  13. mbarukumkali

    Wanawake wenzangu, mnawezaje kukabiliana siku ya 1 ukikutana na mwanaume mwenye maumbile makubwa?

    Na huyo mwenzio alieolewa akischwa hata pata tena mwanaume atakaemtosheleza
  14. mbarukumkali

    Wanawake wenzangu, mnawezaje kukabiliana siku ya 1 ukikutana na mwanaume mwenye maumbile makubwa?

    C mbaoendaga heavy weight nyie eti ukikohoa tu kitu kinatoka haya sasa kohoa na hapo kitu kitoke
  15. mbarukumkali

    Rais Magufuli amualika Ney wa Mitego Ikulu, kufanya Mazungumzo

    Kwahiyo askari waliomkamata walitumwa au walijipebdekeza tu kwa mkuu wa kaya ili waonekane wanafanya kazi nzuri nchi hii bhana ukiwa na mhalifu wako ukiwafuata askari wakukamatie mhalifu wako wanataka rushwa lkn mambo mengine ambayo wao wanayaona kuwa ni makosa sio makosa au ndio wanatafuta kiki
Back
Top Bottom