Recent content by Mbanti

  1. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hapan sio kwamba huna akili...la hasha wala kufeli usaili haimaanishi ww nanga. Inategemeana na maswali ulokutana nayo siku hiyo kikubwa ni usife moyo ipo siku usiyo itarajia utapenya na hutaamini. Omba na sali sana...Mungu anakuona na wala hajakutupa!
  2. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana. Hongera kwa kulamba asali
  3. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
  4. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana kwa walokula shavu
  5. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kuna wa 2015 washa amua kuendelea na mishe zngne
  6. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Anakuwa sio mpendwa wao tena. Ni mpendwa wa taifa zima
  7. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Story zimeisha za yanayoendelea nyuma ya pazia?
  8. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ukisubirigi yanayosemwa utakesha saaaana!. Kwa kuongea na kuaminisha watu viongozi wetu wapo vzr ila njoo kwenye uhalisia. Mm I wish akisema ajira ni 44k na vibali vishatolewa sasa nione tangazo lenye kuhitaji hao watu hapo ingekuwa magoli saaana na nadhan hata huko kulalama kwa sana kwa sisi...
  9. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Yaaan kumbe na ww unakutwa na changamoto ya hivi. Nilidhan labda kuna namna nmekorokocha simu ndo ikaniletea hivi. Kwanza hata pics huwa haziwezi kufunguliwa kwa app had kwenye browser. Sasa naona hata uzi wanasema tumia browser🥲
  10. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

  11. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongereni sana kwa kulamba asali
  12. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    https://www.instagram.com/reel/C3pcWb-tnpH/?igsh=MXNtZGMxcmU4anpnYw==
  13. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    https://www.instagram.com/reel/C3pcWb-tnpH/?igsh=MXNtZGMxcmU4anpnYw==
  14. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    https://www.instagram.com/reel/C3pcWb-tnpH/?igsh=MXNtZGMxcmU4anpnYw==
  15. Mbanti

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kale ka-feeling ka kuwa umeambiwa ufuate barua yako pale Asha Rose Migiro. Usingizi hauji hasa ukiwaza siku kbao ulizokuwa unasubiria hilo PDF mbaya zaidi uwe ambao ulifanya nao usaili walishaingia kazini miezi hata 8 ndo unatokea kwa PDF means unakuwa huna hili wala lile mara paaaaapu simu...
Back
Top Bottom