Pa1 man, cha muhimu ni matumizi tu coz kuna watu wengine wana pesa nyingi but maisha
wanayoishi ni magumu kuliko mtu asiye na kitu kabisaa. Anza jimu ya nonino yako tu, inatoshaaa!
ofcoz mademu ndo walivyo! unapokuwa in love wanakusifu sana na kukuambia kuwa we mkali wa shoo!!
but when love ends, huwa wanatoa kauli kama hizo!! isitoshe wapo mademu wengine hawapendi dudu kuubwa!
So anza mwaka mpya na new Choice!
Kwakuwa mapenzi ndo kila kitu katika maisha ya viumbe hai vyote ulimwenguni; binadamu,wanyama, n.k. Nimekuwa nikifikiria sana juu ya mapenzi namna yanavyochukua muda mwingi wa binadamu aliyekamilika. Coz JF ndo ground la ufumbuzi kwa kila kitu! Kama hutamtamani mtu, au kuanza kumuimagini basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.