Demokrasia kutendeka katika nchi amayo watu wake ni masikini wa kipato ni changamoto sana. Napendekeza tuwe na midahalo ya kuwachuja viongozi wetu hasa kwa ngazi za ubunge na urais. Maswali yawe objective ndipo tutapowajua viongozi ni wapi na wahamasishaji ni wakina nani.
Tundu Antiphas Mughway Lissu.........................ni muwazi na mkweli pia ni jasiri. Yawezekana wapo kama Lissu Tanzania ila tofauti yao kubwa na Tundu A.M.Lissu ni ujasiri wa kuyaongea wanayoyaamini katika uwazi bila kumung'unya maneno.
This is very interesting and encouraging, it gives me hope that we, Tanzanians, still have excellent leaders who are outside the system and there is a great need for them to lead us. I am quite sure that they will take us through this transition period that we are now.
I am again pretty sure...
Ndugai alipokuwa katika mjadala ITV na Lissu, alizidiwa; Leo na Mnyika amezidiwa pia sasa napendekeza afanye aidha na Nassari Joshua Samwel au Silinde David Ernest japo naona Kama ataomba pooo vile....mtazamo
Umenza kwa kujenga hoja vizuri sana ila hitimisho ndo umekosea hasa kwa kusema kwamba Mwai Kibaki anahaki ya kuenziwa km walivyoenziwa akina mandela,samora na nujoma, wakati wali uliwapinga na mwisho unasema wanahaki. Hivyo natofautiana na wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.