Recent content by Mbagalila

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimembagaza huyu Dada anataka tena nimbanange. Watanzania tukemee tabia hiyo mbaya

    Kwani mbona sielewi au nimekosea jukwaa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bila kuzungumzia Kupigwa Risasi kwa Lissu, Polepole hutaeleweka!

    Polepole anasema wana mtandao ni kundi hatari sana na kwa bahati mbaya inaonekana hata wao walizidiwa nguvu za kuweza kuwashikisha adabu sasa kama walifanya kosa kubwa la kumshambulia lisu hapo sasa si ndio ulikuwa wakati sahihi wa kufanya uchunguzi wa kina kisha kuwatia hatiani na kuwapoteza...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nauona Upinzani Ukiichukua Nchi 2030

    Jana nilikuwepo kawe kwa nilichokishuhudia upinzani kuchukua nchi bado sana na jana ndio niliamini maneno ya Bashiru ukiwa na dola halafu ushindwe uchaguzi utakuwa ni ufwala
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mnaokesha kuangalia video mnemba za Polepole, mmeamkaje kwa ile nyomi ya uzinduzi wa kampeni za CCM

    Ukiona mtu kasombwa jua kakubali kusombwa mbona wewe hukusombwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Ukiona wameenda basi jua wamependa kwenda umezuiwa usifanye biashara sawa je umelazimishwa kwenda kwa nini usilale kwako ukafanya shughuli zako zingine
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Kama hukujaa kwenye moyo wa mtu si lori tuu hata ukiletewa ndege hupandi
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najiuliza je Azam wamemlipa fei toto mabilioni kwa ajili ya mechi za ndani ama ndio fei toto akawabebe na kimataifa CAF ?

    Mchezaji gani hata kukusanya kijiji atembee nacho hawezi kama afanyavyo pacome
  8. M

    JamiiForums Tanzania Alipopigwa risasi walishangilia,eti leo wanasema wana huruma juu yake wanashikiza atolewe jela

    Hakuna kiongozi anayependwa na watu wote hata Magu pamoja na mazuri yake bado siku alipokufa kuna watu walishangilia hata juzi tu hapa kafa ndugai kuna watu walishangilia hivyo haitakuwa ajabu au jambo jipya
  9. M

    JamiiForums Tanzania Polepole umepuuzwa vya kutosha, chukua hatua

    Siku akituambia nani alimshambulia lisu ndio ataaminika
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mpina agonga hodi ACT Wazalendo na yupo tayari kugombea urais

    Hapo ndipo mnapo haribu yaani huyu aliye set hili wazo la devide and rule kwa msingi wa dini alitupatia sana sisi wa Tanganyika na itatuchelewesha sana coz mtu haangalii ufanisi wa kiongozi bali huangaliwa zaidi dini yake mtu yupo radhi kusifia hata ujinga mradi tu umefanywa na kiongozi wa dini...
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Bumunda tena wewe utakuwa utoplo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Samia akishinda Urais mwaka huu, Polepole, Gwajima na Mpina wataishije maisha yao hapa Tanzania?

    Ukiamua kuwa jasiri wa kusema juu ya mabovu ya kiongozi basi huna haja ya kuogopa chochote labda ujasiri wako uwe wa kimaslahi binafsi au chuki kwani lisu alikuwa mkosoaji mkubwa wa jiwe na alisimamia alichokiamini hata alipo umizwa alipopata nafuu aliendelea kusema maovu ya jiwe na wala hakuufyata
  13. M

    JamiiForums Tanzania MH Polepole atoboa Siri : Mwaka 2015 bila Mstaafu Mkapa kusimama kidete , Wahuni walitaka kumpachika MTU wao kama Rais!

    Pole pole na kundi lake walijipanga baada ya jiwe kutawala miaka 10 waje wao sasa baada ya jiwe kutangulia mbele za haki na saa100 kushika usukani na kuonyesha nia ya kuendelea ni kama vile mpango wao unaenda kufa hapo pesa iliyotumka kutengeneza mtandao wao kupotea pia muda kwa kigezo cha umri...
Back
Top Bottom