MAGUFULI PIGA KAZI
SISI WAPIKA KURA WAKO TUPO NA WWE
ACHANA NA HAWA WAPIKA KELELE TU
Uwanja wa ndege ni mhimu sana huku!! Miaka yote viwanja viko kwao tu!! Eti wanahoji economic viability ya uwanja!!! HUKU KWETU MMEONA NIMASIKINI SANA HATUWEZI PANDA HIZO NDEGE??
ACHENI DHARAUUUU
of all...
Mkuu umefafanua vzuri kabsa kuwa watanzania bado hawajielewi, na na hisi PRESIDENT wetu mpendwa kaliona hilo ameamua azuie tu tuvute muda watu wetu wapate akili kwanza jinsi ya kufuika na hawa jamaa
Ya wezekana tusiwe sisi maana akili za watu wengi bado finyu sana hivyo vizaz vjavyo wakipata...
Mkuu wao hapo hawakutungu hizo sheria, bali sisi wenyewe pigania wabunge watoe hizo sheria. kuhusu 'Mungu' kumbuka huyu si wamtu mmoja hivyo huwezi kumwalia achukue hatua gani juu yao. Halafu vpi kale kautaratibu ka kupiga risasi mbwa mtaani ulishapiga kelele pia,? Maana hao pia hutolewa uhai...
Mkuu hawakuchoma vifaranga kwa dhamira ya kumtia hasara huyu binti bali ni kuhofia magonjwa mkuu. Think twice. Swala la mchnga halifanani na hii case apa
Mkuu kumbe shida yako sio kutoa uhai wa viumbe hai?? Bali nikuhusu faida yake kwa binadamu?? Kuhusu matunzo kwa mfanya biashara huwa haimuhusu maana hizo gharama zote mwisho anae bebeshwa ni final consumer,
Hapo yeye alipaswa achukue mzigo kiasi tu pesa nyingne aachie kwa kuwahudumia. Ila kwa...
Mkuu unaijua biashara ya magendo??? High profit na pia high risk!! Kuhusu kuua vifaranga, kunasheria nyingne ya kupiga risasi mbwa koko mtaani mbona watu huwa hampigi kelele?? Au kwa kuwa mbwa haliwi?? Lakini huwa anatolewa uhai kwa hofu anaweza kueneza ugonjwa wa kichaa cha mbwa. Lakini huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.