Vipi baba yako ?
Ulivyomwacha pekee yake kijijini na wewe utaachwa hivyohivyo
Na wanao
Muwe mnawachukua wazazi wote pamoja
Unyambizi sana hata usingeleta kisa hiki hapa
Ulijitangaza vibaya sana kwake mpaka akajua jimbo liko wazi hivyo katangaza nia tu .
Uwe na msimamo dhabiti natamani wanao mpaka wajitegemee ndiyo uanze safari nyingine ya maisha .
Nakushauri mwambie kama hatojali muwe marafiki mpaka watoto wamalize vyuo ndo utamuoa , akifrit jua siyo mke ...
Mwanamke huwa anaangalia mbali na kuona, mwanamke akikuona wewe una haiba ya kiume kwake ataongea kwa hofu na aibu ila akikuona una haiba ya kike kwake anaongea maneno mbovu mbovu kama lilivyo na matusi wanajua
Simba hata akisajiri mchezaji wa kiwango kikubwa sana ni hamna kitu uchawi umetawala akili zao mpaka wanaweka pembe tatu kwenye majezi na nyota shingoni alama za kifremansoni
Mtapigwa daile leteni tu nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.