Recent content by mazongera

  1. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Njia Bora ya kushinda ni kumdhoofisha mpinzani wako"

    Pale Simba sc inatakiwa ipatikane brain ya mpira kama Heris. Yanga watunze sana hiki kichwa. Kwanza football anaijuwa halafu ipo kwenye damu yake. Uchukuwe viongozi wote wa Simba hata theluthi ya brain ya mpira aliyonayo Hersi hawaifikii.
  2. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa pira hili hakukua na haja ya kwenda pre season Egypt

    Umemaliza kila kitu Simba hakuna timu ya ushindani msimu huu inaweza kuwa msimu mgumu zaidi kwa simba
  3. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa pira hili hakukua na haja ya kwenda pre season Egypt

    Hakuna timu ya ushindani kitaifa hata kimataifa na hiyo September 16 inaweza kuwa ndio safari ya fadlu mark my word
  4. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni zamu ya Mnyama Simba kutesa, maumivu yameshapita

    Ukweli usemwe Simba hawana kikosi cha ushindi ndani hata kimataifa. Wanapoteza mipira mara kwa mara hawakai na Mpira na wakijaribu kufanya hivyo wapinzani wanaichukua kirahisi mno. Naiona safari ya fadlu September 16
  5. mazongera

    JamiiForums Tanzania Unatumia VPN gani?

    Tor browser ipo vizuri sana
  6. mazongera

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Bila shaka kwani akipita ndio itakuwa miaka yake mitano ya kwanza ya utawala wake katika hiyo kumi. Hii anayomalizia ni katika sehemu ya utawala wa Magufuli.
  7. mazongera

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Anachokizungumzia Jk mbona tofauti sana. Samia anamalizia awamu ya tano ya Magufuli. Baada ya hapo alitakiwa aombe ridhaa ya hiyo nafasi akishindana na watu wengine wa chama ambao nao wahitaji hiyo nafasi. Hata yeye mwenyewe Jk alipoweka nia ya kutaka hiyo nafasi hakuwa peke yake ulifanyika...
  8. mazongera

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC: Mfumo wa TEHAMA wa INEC umeunganishwa (Interphase) na Mfumo wa NIDA ili kuboresha utendaji

    Mkuu unadhani CCM kuja na card za ki -electronic limetokea kwa bahati mbaya?
  9. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanachama wa Yanga tumesamehe, uongozi umeonyesha heshima kuomba radhi

  10. mazongera

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna mtu huu mwaka utamwishia vibaya sana

    Hivi mkuu nikuulize tu, ikiwa tupo kwenye basi linaloelekea Arusha ghafla basi likapata hitilafu na kuthibitika halitoweza kuendelea na safari lakini ukafanyika utaratibu wa kampuni husika kuletwa basi lingine ili kuendelea na safari. Je dereva itamlazimu arudi na kuanza upya safari kwa ruti...
  11. mazongera

    JamiiForums Tanzania Redmi note 14 pro plus 5G inauzwa

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza bei 700,000/=
  12. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

    Mkuu humu Ndani kuna Kada tofauti tofauti. Kwa wale madereva wa malori ya mchanga kwa machimbo ya lugwadu au mkuranga,hili watakuwa wanalifahamu.
  13. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

    Ni mke wake wa ndoa kabisa yupo nae siku zote.
  14. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

    Mkuu moja ya shauri ambazo zilitolewa mojawapo ni hilo. Ila kuna watu wanamtia ujinga eti akienda hospitali ikitokea akadungwa sindano,ikilala itakuwa imelala mazima.
  15. mazongera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

    Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya. Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni...
Back
Top Bottom